Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
yaah leo tupo pamojaa..Kumbe Leo tupo boti moja !! Hamna kuchekana
Yanga mbele tu..hatuna mambo ya 'matopeni'YANGA ua kamnyama hako, heshima irudi.
Daima mbele Nyuma ni mwiko kabisaaa!!
Yanga wamechukua 600 juzi hapa sasa nani anahela zaidi.Leo mikia watapigwa na hawatakua na kisingizio,maana hela wanazo kuliko yanga hakuna cha yanga kanunua refa