Elections 2010 Kariakoo kuna NJAA Kweli AU?!

Elections 2010 Kariakoo kuna NJAA Kweli AU?!

Emma Lukosi

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2009
Posts
929
Reaction score
147
Jamani Dar es salaam Tunatia Aibu, Vinjaa vya siku mbili visituponze kwa miaka kumi. Ili naweka wazi mwenye chuki na anichukie VIZEE VYA KARIAKOO VIMEZIDE UKABWELA WALA MAKAMBA HAKUONGOPA, Kariakoo kuna support kubwa ya CCM. Wajumbe, Madiwani hadi Mbunge wote ni CCM. Maisha mabovu, Miundo mbinu mibovu lakini bado tu.

Tunashindwa kimawazo sana na wenzetu wa mikoani. Nani Aliesikia Kauli ya ZUNGU Mbunge wa ILALA Bungeni kuhusiana na kero za wamachinga na uchafu uliokihiri, kama yupo naomba Anitukane, Ina maana K.Koo hakuna Kero?!. Wamachinga wenzangu TUSIDANGANYIKE, BARABARANI TUUZE LAKINI CCM NO!.

'Dar es salaam Standup put your hands up..':music:😛eace:
 
mkuu afadhali umewakumbuka hawa jamaa watanzania wenzetu wa kariakoo. Wamejisahau sana.njoja tuwaamshe.
 
Jamani Dar es salaam Tunatia Aibu, Vinjaa vya siku mbili visituponze kwa miaka kumi. Ili naweka wazi mwenye chuki na anichukie VIZEE VYA KARIAKOO VIMEZIDE UKABWELA WALA MAKAMBA HAKUONGOPA, Kariakoo kuna support kubwa ya CCM. Wajumbe, Madiwani hadi Mbunge wote ni CCM. Maisha mabovu, Miundo mbinu mibovu lakini bado tu.

Tunashindwa kimawazo sana na wenzetu wa mikoani. Nani Aliesikia Kauli ya ZUNGU Mbunge wa ILALA Bungeni kuhusiana na kero za wamachinga na uchafu uliokihiri, kama yupo naomba Anitukane, Ina maana K.Koo hakuna Kero?!. Wamachinga wenzangu TUSIDANGANYIKE, BARABARANI TUUZE LAKINI CCM NO!.

'Dar es salaam Standup put your hands up..':music:😛eace:
 
Kumbe matusi ya Makamba yanasaidia kuzindua watu enheee....!!!
 
Wale wazee Aliokua Anaongea nao Jk Kwa niaba Ya Wafanyakazi, Wote wale wanywa Gahawa wa K.Koo. Acheni Hizo.:mad2:
 
Back
Top Bottom