Kwa DSM, Kariakoo ni sehemu kubwa na maarafu kwa kufanyia biashara.
Uwezo wa kkoo kukuwa ni mkubwa kiukweli ila, miundombinu inakwamisha.
Suala zima la nafasi, utulivu pamoja na usalama ndiyo linazingua.
Kwa sasa bado watu wanafungiwa biashara zao sasa vijana watafanya nini?
Ni kama vile tunajaribu kusonga mbele halafu tunarudi nyuma kwa kasi zaidi.
Uwezo wa kkoo kukuwa ni mkubwa kiukweli ila, miundombinu inakwamisha.
Suala zima la nafasi, utulivu pamoja na usalama ndiyo linazingua.
Kwa sasa bado watu wanafungiwa biashara zao sasa vijana watafanya nini?
Ni kama vile tunajaribu kusonga mbele halafu tunarudi nyuma kwa kasi zaidi.