KARIAKOO, LANGO LA KIUCHUMI LINAOENDESHWA KAMA GULIO VIJIJNI

KARIAKOO, LANGO LA KIUCHUMI LINAOENDESHWA KAMA GULIO VIJIJNI

crome20

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2010
Posts
1,193
Reaction score
810
Kariakoo ni fursa kubwa ya kiuchumu kwa Tanzania. Soko hili linazihudumia nchi jirani za EA na za kanda ya kusini kam Congo, Zambia, Rwanda, Malawi, Zimbabwe n.k
Kama tungekuwa tunaliona hili kwa mtazam8 mpana, soko la Kariakoo lisingekuwa linaendeshwa kama gulio tu. Matokeo ya uendeshaji na mipango mibovu, utafiti mdogo unaonyesha watu wengi hawapendi kwenda Kariakoo sababu ya msongamano, kutokuwepo parking, vibaka na matapeli, mipangilio mibovu ya maduka inayomfabya mtu kuzunguka weee kutafuta bidhaa.
Ili kukabiliana na hayo, maboresho na mageuzi makubwa ya uendeshaji yanahitajika ili ku tap hiyo business potential tuliyokuwa nao. Natoa mchango wangu hapa
1. Magari, bajaji na maguta yazuiwe kupaki eneo la maduka kusubiri wateja. WATENGEWE ENEO lao kama Jangwani, mfumo kama uber, unaweza kutumika ili wakija wanapakia na kuondoka. Hii itapunguza sana msongamano.
2. Ruti ya Fery_Kariakoo ya Bajaj ifutwe. Utumike mwendokasi tu, maana nazo zina fujo na kuongeza msongamano.
3. Biashara kandokando ya barabara au barabarani au vibarazani zifutwe na iwe ni takwa la kisera sio huruma za wanasiasa.
4. Kuwe na mpangilio wa maduka ili yanayotoa huduma ya aina moja yakae sehemu moja. Hii itarahisisha movement
5. Ziwekwe sehemu za kupumzika sehembu mbalimbali ili kufanya shopping iwe enjoyable.
6. Uimarishwe usafi
7. Baadhi ya naduka yatoe huduma hadi angalau saa 4 usiku ili kuongeza flexibility. Mfano watumishi wanaweza jutoka kazini wakafanya shopping badala ya watu wote kurundikana masaa yaleyale, na hii siyo kukurupuka tu sababu ya sikukuu.
 
Umetoa ushauri mzuri mno
Kariakoo utakufa siku zijazo
Kuna msongamano wa watu wasiokuwa na kazi maalumu hapa kariakoo wengi wakiwa mawinga, vibaka, machinga n. K

Kwa mtu smart ata opt kwenda kufanya manunuzi sehemu nyingine

Nadhani serikali wafate ushauri wa mdau
 
Kariakoo ni fursa kubwa ya kiuchumu kwa Tanzania. Soko hili linazihudumia nchi jirani za EA na za kanda ya kusini kam Congo, Zambia, Rwanda, Malawi, Zimbabwe n.k
Kama tungekuwa tunaliona hili kwa mtazam8 mpana, soko la Kariakoo lisingekuwa linaendeshwa kama gulio tu. Matokeo ya uendeshaji na mipango mibovu, utafiti mdogo unaonyesha watu wengi hawapendi kwenda Kariakoo sababu ya msongamano, kutokuwepo parking, vibaka na matapeli, mipangilio mibovu ya maduka inayomfabya mtu kuzunguka weee kutafuta bidhaa.
Ili kukabiliana na hayo, maboresho na mageuzi makubwa ya uendeshaji yanahitajika ili ku tap hiyo business potential tuliyokuwa nao. Natoa mchango wangu hapa
1. Magari, bajaji na maguta yazuiwe kupaki eneo la maduka kusubiri wateja. WATENGEWE ENEO lao kama Jangwani, mfumo kama uber, unaweza kutumika ili wakija wanapakia na kuondoka. Hii itapunguza sana msongamano.
2. Ruti ya Fery_Kariakoo ya Bajaj ifutwe. Utumike mwendokasi tu, maana nazo zina fujo na kuongeza msongamano.
3. Biashara kandokando ya barabara au barabarani au vibarazani zifutwe na iwe ni takwa la kisera sio huruma za wanasiasa.
4. Kuwe na mpangilio wa maduka ili yanayotoa huduma ya aina moja yakae sehemu moja. Hii itarahisisha movement
5. Ziwekwe sehemu za kupumzika sehembu mbalimbali ili kufanya shopping iwe enjoyable.
6. Uimarishwe usafi
7. Baadhi ya naduka yatoe huduma hadi angalau saa 4 usiku ili kuongeza flexibility. Mfano watumishi wanaweza jutoka kazini wakafanya shopping badala ya watu wote kurundikana masaa yaleyale, na hii siyo kukurupuka tu sababu ya sikukuu.
hilo eneo serikali ingekuwa makini wangekuwa wanapiga pesa. Sana kwa kariakoo.. maana wangelifanya ni kitovu cha kusbazia biashara kwa nchi zinazotuzunguka

Chukulia mfano serijali ingekaa na wadau na wadau wa pale kariakoo wakaja na master plan ya namna hii

1. Kuvunjwe baadhi ya majengo kariakoo ijengngwe kubwa zaidi.. kutengenezwe reli inayoanzia kariakoo then kubeba bidhaa mbali mbali na kuzipeleka border za nchi mbali mbali reli hii ni ya mizigo tu naninaishia border tu

Jengo liwe limegawanywa kwa stail hii

1. Wing A Bidhaa za jumla za kuuzwa ndan ya nchi yaan anayenunua anaenda kuuza ndani au kutumia mwenyewe na hiyo Wing A pia inagawanywa kutokana na aina ya bidhaa .. yaani Eletronik kwake, nguo textile product kwake, Pia Kuwe na mgawanyo maduka ya jumla Kwake rejareja kwake , upande wa jumla
Ndio kunaweza kukawa na showroom/office Za makampuni pia ambao bidhaa za ni kubwa haziwez kuwekwa hapo..

2. Wing B iwe ni kwa Bidhaa za kuuzwa nje ya nchi tu yaan anayenunua anaenda kuuza nje yaan
Kiziho yote inajulikana ni transit , na maduka Yake pia yanagawanywa kutokana na aina ya bidhaa

Kisha juu kabisa ni migahawa na eneo la huduma za kioffice mfano insuarance, wauza magari, banks na kafhalika

Eneo la nchi (mezanine floor) iwe ni "one stop center " kwa office za serikali yaani TRA, manispaa, bandari, customs , shirika la Reli na kadhalika ili kuweza kurahisisha mambo ya vibali na malipo ya serikali kwa wafanyabiashara

Mwisho Undeeground ndio eneo la train kuoakia na kupakua Mizigo

mfano Anayepeleka vitu congo ananunua vitu floor ya kwanza anamalizana na serikali na anaenda shirika la Reli kufanya booking ya space kwa mzigo wake kwenye floor ya chini. Kisha Mzigo wake unapokelewa unapelekwa ground floor kwa ajili ya kusubiri train Ya chini akitoka hapo yeye anatafuta usafiri wa kumfikisha border mkononi ana kila kitu kuanzia docs za tra, custom receipt za Shirika la reli kuonyesha mzigo wake utafika border lini kwa train ipi, na utahifadhiwa kwenye gowdown namba ngapi pale border maana shirika la reli litajenga godown zake ambazo itakuwa kama
Bandari kavu yaan train ikifika inapakua mzigo inageuza mwenye mzigo akija ana process mizigo yake
Kuvuka border.

Lengo kuifanya kariakoo iwe hub kupokelea mizigo ikiwezekana. Serikali inaongea na wafanyabiashara na viwanda vya china inawapa showroom pale yaan mfano mcongo anataka kununua container la TV, basi akija kariakoo aidha ananunulia pale au anaweka order mzigo unakuja unawekwa kwenye train anakutana nao border.

Bidhaa za mazao viondolewe kariakoo
Sababu hakuna mfanyabiashara wa nje anayekuja kariako kununua mchele wanafataga mazao shambani so hakuna haya ya kuleta kariakoo masoko ya ilala temeke na kimo yaboreshwe mazao yanafikia huko

serikali hapo ingepiga pesa kwa sababu urahisi wankusafirisja mizigo kwa train ungewavuta wafanyabiashara wengi
 
hilo eneo serikali ingekuwa makini wangekuwa wanapiga pesa. Sana kwa kariakoo.. maana wangelifanya ni kitovu cha kusbazia biashara kwa nchi zinazotuzunguka

Chukulia mfano serijali ingekaa na wadau na wadau wa pale kariakoo wakaja na master plan ya namna hii

1. Kuvunjwe baadhi ya majengo kariakoo ijengngwe kubwa zaidi.. kutengenezwe reli inayoanzia kariakoo then kubeba bidhaa mbali mbali na kuzipeleka border za nchi mbali mbali reli hii ni ya mizigo tu naninaishia border tu

Jengo liwe limegawanywa kwa stail hii

1. Wing A Bidhaa za jumla za kuuzwa ndan ya nchi yaan anayenunua anaenda kuuza ndani au kutumia mwenyewe na hiyo Wing A pia inagawanywa kutokana na aina ya bidhaa .. yaani Eletronik kwake, nguo textile product kwake, Pia Kuwe na mgawanyo maduka ya jumla Kwake rejareja kwake , upande wa jumla
Ndio kunaweza kukawa na showroom/office Za makampuni pia ambao bidhaa za ni kubwa haziwez kuwekwa hapo..

2. Wing B iwe ni kwa Bidhaa za kuuzwa nje ya nchi tu yaan anayenunua anaenda kuuza nje yaan
Kiziho yote inajulikana ni transit , na maduka Yake pia yanagawanywa kutokana na aina ya bidhaa

Kisha juu kabisa ni migahawa na eneo la huduma za kioffice mfano insuarance, wauza magari, banks na kafhalika

Eneo la nchi (mezanine floor) iwe ni "one stop center " kwa office za serikali yaani TRA, manispaa, bandari, customs , shirika la Reli na kadhalika ili kuweza kurahisisha mambo ya vibali na malipo ya serikali kwa wafanyabiashara

Mwisho Undeeground ndio eneo la train kuoakia na kupakua Mizigo

mfano Anayepeleka vitu congo ananunua vitu floor ya kwanza anamalizana na serikali na anaenda shirika la Reli kufanya booking ya space kwa mzigo wake kwenye floor ya chini. Kisha Mzigo wake unapokelewa unapelekwa ground floor kwa ajili ya kusubiri train Ya chini akitoka hapo yeye anatafuta usafiri wa kumfikisha border mkononi ana kila kitu kuanzia docs za tra, custom receipt za Shirika la reli kuonyesha mzigo wake utafika border lini kwa train ipi, na utahifadhiwa kwenye gowdown namba ngapi pale border maana shirika la reli litajenga godown zake ambazo itakuwa kama
Bandari kavu yaan train ikifika inapakua mzigo inageuza mwenye mzigo akija ana process mizigo yake
Kuvuka border.

Lengo kuifanya kariakoo iwe hub kupokelea mizigo ikiwezekana. Serikali inaongea na wafanyabiashara na viwanda vya china inawapa showroom pale yaan mfano mcongo anataka kununua container la TV, basi akija kariakoo aidha ananunulia pale au anaweka order mzigo unakuja unawekwa kwenye train anakutana nao border.

Bidhaa za mazao viondolewe kariakoo
Sababu hakuna mfanyabiashara wa nje anayekuja kariako kununua mchele wanafataga mazao shambani so hakuna haya ya kuleta kariakoo masoko ya ilala temeke na kimo yaboreshwe mazao yanafikia huko

serikali hapo ingepiga pesa kwa sababu urahisi wankusafirisja mizigo kwa train ungewavuta wafanyabiashara wengi
Haya ni madini kabisa, na inawezekana kabisa, huu ndio ubunifu, sio miaka nenda rudi tunatumia mbinu zile
 
Nilijua ni mm sipakubali kariakoo.

Nina vitu natamani kuvinunua pale, lakini kila nikiwaza ile kazia, Napostpone.
 
Back
Top Bottom