Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi

101 East

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
1,057
Reaction score
2,221
Habari za awali: Moto mkubwa ambao bado chanzo chake hakijajulikana, unaunguza maduka ya wafanyabiashara Kariakoo karibu na kituo cha mafuta cha Bigbon Msimbazi, jijini Dar es Salaam.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea jitihada kudhibiti moto huo, huku wafanyabiashara wakiendelea kuokoa baadhi ya bidhaa zao.


Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Pia soma: Albert Chalamila: Kamati imebaini kuwa moto wa Kariakoo ulisababishwa na hujuma, sio ajali
 
Kwakifupi hilo eneo ni mbele ya soko kuu la kkoo ambalo liko kwenye maboresho na matengenezo, inawezekana wameona walichome na hilo ili kusafisha mandhari ya mbele ya soko lao.Wamelichoma hili bila shaka yoyote wenye mamlaka zao
 
Acha uwake tu tena uwake uunguze vitu. Yaani kariakoo ni eneo la kijinga sana hakuna mpangilio wa kitu chochote, siyo maduka makubwa wala machinga, yaani siku ikitokea fujo watu watakufa sana. Nashauri serikali iwafukuze chinga wote wanaopanga barabarani waondoke kariakoo iwe safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…