FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kuna mzee ananipa taarifa hapa kwamba kuna mama na mwanawe wamedondokewa na waya mkubwa wa umeme mtaa wa Uhuru Kariakoo, mtoto amepona; kwa aliyeshuhudia tukio tunaomba taarifa zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mzee ananipa taarifa hapa kwamba kuna mama na mwanawe wamedondokewa na waya mkubwa wa umeme mtaa wa Uhuru Kariakoo, mtoto amepona; kwa aliyeshuhudia tukio tunaomba taarifa zaidi.
Haraka ya nini kwanini usisubirie ukiwa na taarifa kamili ndio uje hapa
Uzi ulete wewe, taarifa alete mwingine.. Si ungekusanya taarifa vizuri ili ulete kitu kilichokamilika, au ulikua unawahi kuleta uzi ili mwingine asikuwahi.!?
Kuna tuzo zinatolewa ukiwahi kutoa breaking newsHaraka ya nini kwanini usisubirie ukiwa na taarifa kamili ndio uje hapa
Haraka ya nini kwanini usisubirie ukiwa na taarifa kamili ndio uje hapa
ndo maana ya breaking news/news alert taarifa inakuja mbichi kama ilivyo kulingana na ulichoshuhudia muda huo.
Sasa mtu akifa ni breaking news?
kama amekufa kifo ambacho si cha kawaida ni lazima iwe breaking news kwa public. jamaa yuko sahihi 100%
Nakupa challenge ndogo tu, Mtu aliyekufa kwa Kulipukiwa na transfoma ya umeme au mtungi wa gesi au kufa kwa kuanguka kutoka ghorofani hadi chini na mtu aliyekufa kwa kuumwa lets say cancer yupi habari yake itakushtua?Kifo cha kawaida ni kipi mkuu?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Haraka ya nini kwanini usisubirie ukiwa na taarifa kamili ndio uje hapa