BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kariakoo ni sehemu ya kuchuuza vitu ya kimataifa na inapata promo kwa sababu pia tunazungukwa na nchi randlocked nyingi tunazo fanana nazo kama Burundi, Congo, Rwanda, Zambia, Malawi hizo zote ni nch za uchuuzi, za Frame Economy. Kariakoo haiwezi kuwa kituo cha Kibiashara cha kinataifa, kariakoo inaendehswa kiswahili sana, imejaa ushwahili.
Kariakoo Haiwezi kuwa kituo cha Biashara cha kimataifa, ilihali ukiwa na ratiba ya kwenda Kariakoo unaanza kuwaza utafika fikaje kule.Make hata kwa miguu kariakoo haiingiliki kirahisi kwa sababu ya kiwango cha uchuuzi.
Ustarabu ni negative pale Kariakoo.
Pale ndio shule kwa vijana wa Kitanzania kwenda kujifunza uchuuzi na kurudi kufungua frame mikoani huku.
Kariakoo haiwakikishi uchumi wa nchi kwa sababu pale asilimia 100 ya Products nu made ni nje, China na India na kwingineko huko.
Huwezi tamba kuwa na kituo cha biashara cha kimataifa ilihali asilimia 100 ya biadhaa pale ni imported, hii inawezekana kwa Taifa la wajinga kama Tanzania walio zoea kudanganywa.
Kariakoo Haiwezi kuwa kituo cha Biashara cha kimataifa, ilihali ukiwa na ratiba ya kwenda Kariakoo unaanza kuwaza utafika fikaje kule.Make hata kwa miguu kariakoo haiingiliki kirahisi kwa sababu ya kiwango cha uchuuzi.
Ustarabu ni negative pale Kariakoo.
Pale ndio shule kwa vijana wa Kitanzania kwenda kujifunza uchuuzi na kurudi kufungua frame mikoani huku.
Kariakoo haiwakikishi uchumi wa nchi kwa sababu pale asilimia 100 ya Products nu made ni nje, China na India na kwingineko huko.
Huwezi tamba kuwa na kituo cha biashara cha kimataifa ilihali asilimia 100 ya biadhaa pale ni imported, hii inawezekana kwa Taifa la wajinga kama Tanzania walio zoea kudanganywa.