johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni Ushauri tu Camera zifungwe kuanzia Shekilango Stendi ya mkoa hadi Jiji Jipya la Biashara Kariakoo
Halafu Camera nyingine zianzie hapo Shekilango Stendi ya mkoa hadi pale Ubungo China Town
Maana akina Lucas Mwashambwa Mabasi yao Kutoka Vwawa Mbozi yanaingua jijini Saa 5 Usiku hivyo ni vema akamulikwa na camera hadi anapoingia Lumumba kwenye Hostel ya Bure ya Chawa wa mikoani 😂
Ahsanteni sana
Halafu Camera nyingine zianzie hapo Shekilango Stendi ya mkoa hadi pale Ubungo China Town
Maana akina Lucas Mwashambwa Mabasi yao Kutoka Vwawa Mbozi yanaingua jijini Saa 5 Usiku hivyo ni vema akamulikwa na camera hadi anapoingia Lumumba kwenye Hostel ya Bure ya Chawa wa mikoani 😂
Ahsanteni sana