Karibia Wagner Mercenaries 250-300 wafa jana

3ZOV

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2020
Posts
6,259
Reaction score
7,015
Jeshi la ukraine jana limefanya shambulio baya sana kwenye mji wa luhansk na kuua wagner mercenaries 250-300
Huku akibakia mmoja tu ambae amechukua video hii huku akilia



video yao kabla hawajakula kichapo kizito
 
Mnaleta propaganda km ya vifaru vilivyokuwa vinataka kuvuka mto vikapigwa vyote au jeshi la Ukraine wamewarudisha nyuma Russian mpk mpakani kwao baadae tukaoana jiwe la mpaka wameenda nalo sehemu wakarekodi videotape fanyeni propaganda wenzenu wanakufa kweli mpk jotti amekili kila siku sio chini ya 100 wanazika
 
gahawa ya wapi hiyo bwana ustaadh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…