Kinyozi_tz
Member
- May 23, 2020
- 17
- 42
Habarini wadau .Kama mnavyo fahamu katika harakati za maisha kuna watu wana idea za biashara na kuna watu wana pesa.Hivyo napenda kualika wote wenye mawazo ya kibiashara chini ya million tano njoo na idea yako dm then tu discuss .Note usije na idea za kitapel au kubeti na wale ambao idea zao zinafanya kazi tayari zitapewa priority kubwa