Karibu 90% ya watu walio katika ndoa hawafurahii ndoa zao.

Karibu 90% ya watu walio katika ndoa hawafurahii ndoa zao.

fkawogo

Senior Member
Joined
May 30, 2013
Posts
131
Reaction score
37
Nimejaribu kutafiti katika mazingira tofauti kusikiliza katika vyombo vya habari kusoma magazeti kuwauliza watu na shahidi mbalimbali kutoka kwa marafiki zangu lkn wakati mwingine kuona kwa macho nikagundua kuwa karibu asilimia 90% hawafurahii ndoa za wengine mpaka kuona kuwa ndoa ni kama mzigo mkubwa kwao mpaka wanatamani kujitoa. Na utakuta wengine mpaka wanasema wasinge kuwa watoto ninge ondoka, lkn pia wengine wanavumia mateso masimango kwasababu tu wamejenga nyumba kubwa hawezi kuacha au wana magari maduka pesa hawezi kuondoka hata km ananyanyasika. Sasa naomba wana JF tuambizane ukweli hapa nini chanzo cha wanandoa walio wengi sio wote kutofurahia ndoa zao? wapo ambao wanauana ktk ndoa wapo wanaofumaniana wapo wanaopigana wapo wanao achana wapo wanaosalitiana wapo wanaologana wapo ambao hawaongeleshani japo wanakaa nyumba moja wa mzungu wanne ndo usipime. kila siku vurugu tu je? nini sababu ya ndoa kuwa ndoana? karibu kwa mchango wenu wa mawazo.
 
Utamu wa ngoma ni vizuri uingiemo na uicheze
 
Marriage is the only institution that two enemies lives together hahahaaaaaaa
 
Ndio maana PAPA FRANCIS kaitisha sinodi kubwa ya familia na vitu vyote vitachambuliwa na kutolewa majibu kulingana na imani katoliki.


Vatican releases questionnaire to prepare for Synod on families
November 5, 2013 (Romereports.com) The first Synod Pope Francis convened will deal with the topic of families, and is divided in two phases. On October 2014, the presidents of the episcopal conferences will meet to discuss the issue. A year later, in 2015, bishops and experts from across the world will travel to Rome to hash out the pastoral details. Read more




Vatican releases preparatory document as it gets ready for Bishop's Synod on the Family
November 5, 2013 (Romereports.com) At the request of Pope Francis, the Vatican is getting ready for an extraordinary synod of bishops, where the challenges faced by the family will be discussed. Read more
 
Utamu wa ngoma ni vizuri uingiemo na uicheze

Haswaa.
Ndoa inakuwa mateso when 'ONE MARRIES A WRONG PERSON'. Wengi siku hizi tunajali mshiko wa mwenza, mwonekano wa mwenza na family status ya mwenza, bila kujali INNER PART ya mwenza. Matokeo yako ndio hayo ya kujuta ama kuhama nyumba ukiwa bado unaipenda. Mie niko kwenye hiyo 10% ya wanandoa wanao enjoy ndoa zao, kwa kuwa sikuchaguliwa wa kumuoa, nilijitakia mwenyewe. My life will be very hard without my WIFE, tumeshibana sana.
 
Hamna kitu duniani kiko smooth kila kitu kina ups and down hata kulala tu si kila siku utafurahia usingizi, issue ni kujifunza kukabiliana na changamoto za duniani as long bado upo Duniani. Matatizo ya ndoa hayajaanza jana wala juzi and they are there to stay.
 
Back
Top Bottom