Tetesi: Karibu 95% ya bodaboda za DAR ni BOXER

Tetesi: Karibu 95% ya bodaboda za DAR ni BOXER

dinho25

Member
Joined
Jan 6, 2017
Posts
81
Reaction score
89
Nimekaa nikachunguza,nimegundua asilimia kubwa ya madereva wa boda boda DSM wanatumia BOXER,ambazo ni pikipiki za hali yajuu na zenye mvuto.
Ni adimu kukuta hizo aina nyingine za pikipiki ambazo ni PIKIPIKI UCHWARA.
Kwa kweli PIKIPIKI aina ya BOXER ni adimu sana mikoa mingine.
JE HII INA MAANA KWAMBA BODABODA INALIPA SANA DSM kuliko mikoa mingine?.
 
Na asilimia 95% ya ajali za pikipiki zinatokea dar ina maana bodaboda ndio usafiri mkuu dar kuliko mikoa mingine yenye pikipiki UCHWARA!?
 
Mikoa mingine uchumi ni mgumu kiasi kwamba kwa mwananchi wa kawaida kumudu kununua pikipiki bado ni muujiza.
 
Kwahiyo kununua boxa ya buku2 mnajiona wajanja?
 
Hapa boxer si nzuri kwenye mabarabara ambayo yako huku ni nyepesi Sana, huku kinglion, Kuna sehemu nyingine huku gia ni namba moja na mbili au Tatu milima hiyo, boxer mchumba huku
 
Hapa boxer si nzuri kwenye mabarabara ambayo yako huku ni nyepesi Sana, huku kinglion, Kuna sehemu nyingine huku gia ni namba moja na mbili au Tatu milima hiyo, boxer mchumba huku
mkuu unaishi morogoro
 
Nimekaa nikachunguza,nimegundua asilimia kubwa ya madereva wa boda boda DSM wanatumia BOXER,ambazo ni pikipiki za hali yajuu na zenye mvuto.
Ni adimu kukuta hizo aina nyingine za pikipiki ambazo ni PIKIPIKI UCHWARA.
Kwa kweli PIKIPIKI aina ya BOXER ni adimu sana mikoa mingine.
JE HII INA MAANA KWAMBA BODABODA INALIPA SANA DSM kuliko mikoa mingine?.
boxer haziwezi kubeba mizigo sasa bush zifuate nini??
 
Boxer ziko smooth na zina mvuto na abiria wengi Dar huzipenda. Piki piki za Mchina zinakera sana ikitembea una-vibrate mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari
 
Back
Top Bottom