black flowers
Member
- Jan 16, 2024
- 64
- 217
Ww ndo alikuwa anakufananisha na me? π€£π€£π€£Umeaona eeeeh,,,
Umempata mdogo wako.
Imebidi nikaview profile yake π€£π€£Mefurahiiiπ
Ila siku Ile na wewe ulinichanganya mgeni una mashamushamu Kila Uzi nakukuta umejimwaga...
Nimemuona, sasa kuna mwingine anajiita cute wife kabisa π€£π€£π€£Na yeye ana ka wehuwehu kama weweπ€£
Hahahahahahah,. Mgeni ni mwenyeji mmoja mpole Sana,huwezi amini[emoji125]Mefurahiii[emoji1]
Ila siku Ile na wewe ulinichanganya mgeni una mashamushamu Kila Uzi nakukuta umejimwaga...
Itabidi black flowers nikuadopt uwe mdogo angu π€£π€£π€£Na yeye ana ka wehuwehu kama weweπ€£
Tupe id yako ya mwanzo, umemchanganya sana sis yangu π€£π€£π€£Hahahahahahah,. Mgeni ni mwenyeji mmoja mpole Sana,huwezi amini[emoji125]
Hahahahaha nawe,Imebidi nikaview profile yake [emoji1787][emoji1787]
Kweli kachangamka ana vibe
DuuhJamaniiiiii my baby Sis is back!
Nilikumiss sana mdogo wangu, Mwehu wangu, welcome back my lovely Sis, ur such a beautiful soul.
Kwa mtazamo wa nje una mapepe mengiiiii ila in reality una Moyo wa dhahabu, walio karibu na wewe watashuhudia hili.
Juzi niliona I'd mpya imechangamka inaitwa black flowers nikajua ni wewe, nikamcheck fastaaa PM, I was so disappointed baada tu ya salam nikapata jibu"Mimi sio cute wife"ππππππnikamwambia sawa nikandoka kinyongeee, yaani I was surprised kajuaje namtafuta lamomyπ€£π€£.
Welcome back kipenzi, am sure shostisto wako Missy Gf atakuwa anachekelea maana alikuwa kapooza kama ndegere mjane.
Karibu Tena beautiful, ila punguza wenge, usipigwe tena ma ban yasiyo na lazima usiwe kama mndewa Extrovert π . Am happy umerudi dogoake.π
Eti nimewehuka,hahahahaWw ndo alikuwa anakufananisha na me? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwan tunafanana?!
π€£π€£π€£ unawavuruga watu.!!Hahahahaha nawe,
Kuna mmoja hata sikumtajia Id yangu,hahahahha akanitaja jina mweeeh,
Kumbe unanifahamu.?! Ukaamua kuwavuruga kutype km me π€£π€£π€£Eti nimewehuka,hahahaha
Sema kulipooza humu ujue
NaiwekaTupe id yako ya mwanzo, umemchanganya sana sis yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana, ilitokea tu na akanifuata pm,Kumbe unanifahamu.?! Ukaamua kuwavuruga kutype km me [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo alinimiss mno π€£π€£π€£Hapana, ilitokea tu na akanifuata pm,
Nikajua huyu kanifananisha na cute.
Iweke mdogo angu ππNaiweka
Kabiiiiiiiiiisa! Lamomy Akaribie tena jf
Mbona hujaja kuni waooh udugu wangu jomooni ππ₯°π₯°π₯°Kabiiiiiiiiiisa! Lamomy Akaribie tena jf