Karibu Kanairo, Karibu Kenya

Karibu Kanairo, Karibu Kenya

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Hii expressway mpya 'imeua'...
i_gat_shots-20220320-0001-jpeg.2158524
fb_img_1633764078022-jpg.1969019
FMa1AZJXwBgbvLG
nairobi-expressway-640x363.jpg
 
Jameni ifunguliwe twende kuspin hapo mahali, kunao tutakwenda kugeuza geuza magari tu kisa kuenjoy haya mambo tuliyozoea kuyona kwenye movie za Ulaya.
 
Jameni ifunguliwe twende kuspin hapo mahali, kunao tutakwenda kugeuza geuza magari tu kisa kuenjoy haya mambo tuliyozoea kuyona kwenye movie za Ulaya.
Njoo dsm uone wewe...
 
Njoo dsm uone wewe...

DSM moja ninayoijua au kuna nyingine iliyoshushwa kutokea binguni......
Mumeacha kupigiwa mapicha pale Mfangale ambayo mlijengewa na Japan kama msaada.

Kama hiyo ya Mfangale tumekua nazo nyingi kwa muda mrefu, ila hii Expressway ndio inakomesha yaani.
 
DSM moja ninayoijua au kuna nyingine iliyoshushwa kutokea binguni......
Mumeacha kupigiwa mapicha pale Mfangale ambayo mlijengewa na Japan kama msaada.

Kama hiyo ya Mfangale tumekua nazo nyingi kwa muda mrefu, ila hii Expressway ndio inakomesha yaani.
Acha kuharibu majina ya "mwagito" Mfugale.Rudia tena "Mfugale"!
 
Inshaallah tutafika, ninachoogopa ke ni wakora, wamejaa kila kona
Stori tu hizo, Kanairo ni kuzuri sana siku hizi. Usalama, usafi kila kitu shwari, yule gavana sharobaro Sonko alikuwa anazingua sana. Ila walimng'atua na siku hizi mji upo chini ya usimamizi wa mjeda, Major General Mohammed Badi. Hana mzaha kabisa huyo mswahili.
 
DSM moja ninayoijua au kuna nyingine iliyoshushwa kutokea binguni......
Mumeacha kupigiwa mapicha pale Mfangale ambayo mlijengewa na Japan kama msaada.

Kama hiyo ya Mfangale tumekua nazo nyingi kwa muda mrefu, ila hii Expressway ndio inakomesha yaani
 
DSM moja ninayoijua au kuna nyingine iliyoshushwa kutokea binguni......
Mumeacha kupigiwa mapicha pale Mfangale ambayo mlijengewa na Japan kama msaada.

Kama hiyo ya Mfangale tumekua nazo nyingi kwa muda mrefu, ila hii Expressway ndio inakomesha yaani.
Kenyan highway project is being funded by Chinese sources.
 
Back
Top Bottom