GIBA KB
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 367
- 110
Napenda kuwakaribisha wadogo zangu wanaopenda kozi ya Udakitari(Doctor of Medicine,M.D) Kujiunga na chuo cha Kilimanjaro Christian Medical University College(KCMUCo),tawi la chuo kikuu cha Tumaini.Kwa wanafunzi wa MD mazingira ya kujifunzia ni mazuri ikiwemo maabara nzuri zenye vifaa vya kisasa.vilevile wanafunzi wa MD wanapewa TABLETS kwa ajili ya masomo yao.Tuition fee yao ni ndogo ukilinganisha na ya vyuo vingne vya binafse km CUHAS,HKMU,IMTU n.k.Chuo kina ushirikiano na vyuo vya nje ya nchi hasa Usa km Duke University.Mitihani yote except practical hufanyika online.Karibu KCMUCo.For more info visit WWW.KCMUCO
.GO.TZ
.GO.TZ