Karibu kwenye Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 48 ya Kuzaliwa kwa CCM yatakayofanyika katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Karibu kwenye Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 48 ya Kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yatakayofanyika Katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma Tarehe 05 Februari 2025

Mgeni Rasmi ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Your browser is not able to display this video.
 
Asanteee Sasa nataka kupanda yale mabasi Nipo Kakonko Naomba kujua ruti...
 
UJINGA wa namna hii ndiyo maana trump amesitisha pesa zake..
Haiwekani birthday ya mama atumie zaidi ya milioni 150 hii ni kufuru Kwa maisha haya ya Tanzania, huu ni upumbavu na kukosa Akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…