Karibu kwenye Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 48 ya Kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yatakayofanyika Katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma Tarehe 05 Februari 2025
Mgeni Rasmi ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
UJINGA wa namna hii ndiyo maana trump amesitisha pesa zake..
Haiwekani birthday ya mama atumie zaidi ya milioni 150 hii ni kufuru Kwa maisha haya ya Tanzania, huu ni upumbavu na kukosa Akili