Karibu kwenye uzi wa lawama/kulaumu

Write your reply...nawalaume wanawake wasio na chura sjui kimbelembele gani kinawafanya wapite barabarani si wapande zao haice tu au bajaji
🤣🤣🤣 mkuu punguzaukali wa maneno
 
Si ungenipia simu
Kwani number yangu hunaaaa?!!!
Wewe kila siku unizingua
yaaaani kilaaaaa siku
Alafu nikikwambia, unaanza kulia
Sasa unaanza tena
Sasa unalia nini,eeehe?

Unalia niniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?



wakuu siko hivi, ni huu uzi.
na sijui kwa nini umeanzishwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…