Andrew Goldberg
Member
- Sep 13, 2019
- 68
- 136
nakulaumu kwa kutomlaumu zaidi mtoa mada kuleta mada yake ya kulaumu.Asante sana ila ninakulaumu kwa kuchelewa kuuanzisha.
nakulaumu kinoma noma kwa kutulaumu wachangiaji wa lawamaNawalaumu wote mliocoment kwenye huu uzi..
Badala ya kuandika KWENYE aumeandika KWENUE
Kwa hili lazima nikulaumu
Sent using Jamii Forums mobile app