Karibu makamanda wote walioenda kumuomba Mbowe agombee uenyekiti watokomea pasipojulikana!

Karibu makamanda wote walioenda kumuomba Mbowe agombee uenyekiti watokomea pasipojulikana!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Kweli wapiga dili hawataisha nchi hii, hadi Chadema wapo sana. Kuna genge fulani la makamanda wa Chadema ambao walijipachika jina la wanyeviti wa mikoa wa Chadema na kufika nyumbani kwa Mbowe ili kumuomba agombee uenyekiti wa Chadema.

Baada ya muda karibu wote wamepotea na kutokomea kusikojulikana, wamebakia wachache (Ntobi na Yericko) ambao angalau wameonyesha ujasiri wa kumpambania mwamba japokuwa nao wamechoka na kuchokwa vibaya.

Soma Pia: Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti


Wengine wote wamepotea, baadhi wamebakia kujificha kwenye ID fake huku mitandaoni lakini pumzi inaonekana kukata kabisa.
 
Wanakuambia wapo busy kutafuta kura kwa wajumbe.
 
“Curiosity killed the cat” haya mambo ni vema kuuachia muda uamue. Muda utasema.
 
Kweli wapiga dili hawataisha nchi hii, hadi Chadema wapo sana. Kuna genge fulani la makamanda wa Chadema ambao walijipachika jina la wanyeviti wa mikoa wa Chadema na kufika nyumbani kwa Mbowe ili kumuomba agombee uenyekiti wa Chadema.

Baada ya muda karibu wote wamepotea na kutokomea kusikojulikana, wamebakia wachache (Ntobi na Yericko) ambao angalau wameonyesha ujasiri wa kumpambania mwamba japokuwa nao wamechoka na kuchokwa vibaya.

Soma Pia: Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti


Wengine wote wamepotea, baadhi wamebakia kujificha kwenye ID fake huku mitandaoni lakini pumzi inaonekana kukata kabisa.
bado wapo wanafurukuta kuibuka na ushindi
 
Back
Top Bottom