Utakuwa unaishi kwa shemeji yako wewePost yangu uliyoinukuu nimei-edit na inasomeka kama ifuatavyo kwa sasa:
"Kama unachosema ni kweli, na anatumia mkakati wa kibiashara kuzifuta, na iwapo kweli zitafutika, tatizo liko wapi? Ikitokea kweli zikafutika maana yake zina kasoro kubwa, hazikutakiwa kuwepo. Vinginevyo kama ziko safi hazitaftutika na hakuna anayeweza kuzifuta!"
Je bado nimekosea tu kulingana na mtizamo wako
o wako?
Bujibuji Wyatt mathewson kaamua tu kukujibu kijeuri lakini alikuwa anamaanisha hivi:Bujibuji,
Ua hiki anzisha kile,nonsense!
Sifungui chochote humo
Private sekta ni kubwa 85% ya GDP yote,serikali mchumba tu kwa fedha
Hovyooo
Sasa nimeelewa vyemaBujibuji Wyatt mathewson kaamua tu kukujibu kijeuri lakini alikuwa anamaanisha hivi:
Serikiali inaua kitu kimoja na kuanzisha kingine kinachofanana na kile ilichokiua.
Yeye Mathewson hatafungua chochote kwenye hiyo benki kama ikianzishwa.
Anasema sekta binafsi ni kubwa kuliko serikali kwani inamiliki asilimia 85 ya pato lote ghafi la nchi.
Ndio
Kitambo tetesi ni kwamba malengo yao yakupata faida wanayoitaka hayakufikiwa, Waingereza wakaamua kuipiga bei na kuwa wabia ABSA.Barclay Africa ndo imeuzwa sio ile unayo iona kule kwenye ligi ya Uingereza
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa unaishi kwa shemeji yako wewe
kwa maana hiyo sasa kuna haja gani ya kuwa na National Bank of Commerce NBC?Serikali imerudi kwa kasi kwenye Biashara mbalimbali, na Sasa inakuja na Benki kubwa ya kibiashara Tanzania ambapo itamilikiwa kwa 100% na serikali.
Benki itaenda kwa jina la Tanzania Commercial Bank.
Inatokana na kuunganishwa kwa Benki ya Posta, Tanzania Postal Bank, Tanzania Investment Bank na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Tanzania Agricultural Development Bank.
Mchakato unafanyika kimyakimya chini ya uratibu wa Bank of Tanzania.
Kaeni tayari kwa hiki kitu kipya.
Inamaana hadi nbc nayo itabadilishwa jina ama
Hapo makato na usalama wa siri zetu tukiweka mamilion utakuwaje