Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
INTRODUCTION
Dah, mwaka huu nimechelewa kuingia Nanenane Mbeya. Badala ya kuingia tarehe 30/07 ""as usual"" ila mwaka huu nimeingia juzi tarehe 02/08/2023.
Ila haina mbaya, Kazi iendelee.
BODY
Karibu kwenye Banda letu nikupe pindi/Shule kuhusu mambo ya biashara, Uwekezaji, kilimo, na viwanda n.k.
ELIMU YANGU
3. PhD Candidate - Financial Economics
2. Masters of Science in Finance and Investment
1. Bachelor of Science in Economics and Finance
EXPERIENCE
Katika nyanja hizo za elimu yangu uzoefu wangu;
1. Tanzania government miaka 11
2. Private miaka 2
Umri, Nina miaka 33 (1990).
Karibu tuongee kifedha zaidi
Karibu tuongee kibiashara zaidi
#YNWA
Dah, mwaka huu nimechelewa kuingia Nanenane Mbeya. Badala ya kuingia tarehe 30/07 ""as usual"" ila mwaka huu nimeingia juzi tarehe 02/08/2023.
Ila haina mbaya, Kazi iendelee.
BODY
Karibu kwenye Banda letu nikupe pindi/Shule kuhusu mambo ya biashara, Uwekezaji, kilimo, na viwanda n.k.
ELIMU YANGU
3. PhD Candidate - Financial Economics
2. Masters of Science in Finance and Investment
1. Bachelor of Science in Economics and Finance
EXPERIENCE
Katika nyanja hizo za elimu yangu uzoefu wangu;
1. Tanzania government miaka 11
2. Private miaka 2
Umri, Nina miaka 33 (1990).
Karibu tuongee kifedha zaidi
Karibu tuongee kibiashara zaidi
#YNWA