Karibu Tanganyika Packers Kawe Desemba 4, 2021 uje ujionee 'Maajabu' ya Kuuaga mwaka 2021

Karibu Tanganyika Packers Kawe Desemba 4, 2021 uje ujionee 'Maajabu' ya Kuuaga mwaka 2021

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Huku Mwalimu Mchungaji Mwakasege anaendelea na OKOKA Concert yake na kule EFM Radio wanaendelea na KOMAA Concert yake.

Kwa 'Sound' la uhakika lililosetiwa vyema kujiandaa na KOMAA Concert ya EFM Radio Tanganyika Packers Kawe Kesho ambalo nimetoka Kulisikia kuna uwezekano mkubwa 95% ya Waumini wa Semina ya Mwalimu Mchungaji Mwakasege wakawa Machoni wanaonyesha Kufuatilia Somo ( Neno ) la Injili ila huku chini wakawa 'Wanaserebuka' tu kwa Miziki ya uhakika kutoka kwa Wasanii Wakali na Wakubwa watakaokuwa 'Wanaimba' Miziki ya Kidunia.

Kwa mujibu wa Mmoja wa Wataalam wa Kutengeneza na Kupamba Jukwaa huku pia akiwa amebobea ( ameiva ) katika 'Sound' kaniambia GENTAMYCINE kuwa Kesho Sauti ya hilo Tamasha lao la Komaa la EFM Radio itasikika umbali wa Ubungo, Tegeta na Kigamboni achilia mbali Wakazi wa maeneo ( viunga ) vya Kawe, Mikocheni, Msasani, Goba, Bahari Beach, Mbezi Beach, Masaki, Oysterbay, Tegeta Masaiti, Makumbusho, Kijitonyama, Mwenge na Sinza.
 
We kama sio mzee sirimoni, abasi kijogoo basi poti poti fedha,, na kama humu kote haumo, basi utakuwa mmoja wa waandamizi wa zile maskani mbili moja pale wanapocheza bao karibu ya gereji kwa babu skuli zilipokuwa kota za magoha Tanganyika pacers mbele ya msonge,, au lile skani lingine la mbungi pale kiwanjani kwenye uwanja wa kawe rangers kwenye kile kimti kilichotenganisha uwanja wa maskani na rangers,,,, mana si kwa update hizi,,,
 
We kama sio mzee sirimoni, abasi kijogoo basi poti poti fedha,, na kama humu kote haumo, basi utakuwa mmoja wa waandamizi wa zile maskani mbili moja pale wanapocheza bao karibu ya gereji kwa babu skuli zilipokuwa kota za magoha Tanganyika pacers mbele ya msonge,, au lile skani lingine la mbungi pale kiwanjani kwenye uwanja wa kawe rangers kwenye kile kimti kilichotenganisha uwanja wa maskani na rangers,,,, mana si kwa update hizi,,,
Mkuu yaani nimecheka mpaka basi. Ukweli ni kwamba sitokei katika hivyo Vijiwe vyote ulivyovitaja na hata hawa Watu uliowataja Mimi siyo Mmoja wao japo nakiri kuwa nawajua.

Kwani kuna Mmoja hapo nilimuokoa Kupigwa na Masela na mwingine nilimsaidia Kumponyesha Gono kwa kumpa Dawa ya Kienyeji na ya uhakika huku mwingine niliwahi Kugombania nae Demu mitaa ya Hipro Bar na nikamshinda kwani alikuwa akitanguliza Pesa za Kuhonga.

Ila Mimi nilikuwa nikipiga 'Sound' za maana ( hasa za Kumdanganya ) na nikambandua kisha nilipomaliza nikaenda Kumtishia huyo Mshindani wangu wa 'Mbunye' yake kuwa nilienda Kupima nae UKIMWI ( Dally Kimoko ) Hospitali na Kumkuta ameathirika na Jamaa tokea Siku hiyo akaachana nae na Mimi nikawa naendelea 'Kumbandua' tu mpaka aliporejea Kwao Manyara ambako sasa ameshaolewa huko.
 
Back
Top Bottom