Nimemwona somewhere yatakuwa aliolewa jamaa likampiga biti kuja jf..Masai dada anarudi tena?
Sidhani,itakuwa mtu kaamua kutumia ID yake coz huyu mtu nimemtafuta sn
Sikuhizi wamekaliwa vibaya na undagiraundi..[emoji23]Masai Dada, miss chaga na evenly salt ni untouchable wako juu kama Obama Hilo halipingiki
Jana nimeona anacomment kwenye uzi wa g-spot..Hawezi rudi huyo
Kwanini asiweze?Hawezi rudi huyo
Kwanini asiweze?
Joanhan, Miss natafuta, richaabra, Monica na Paprika jiandae ujio mpya wa MASAI DADA hauwezi kuwaacha juu lazima mpromoke aisei hapa JF.
hahaha umenichekesha sanaNi id yangu nimesahau pswd