Karibu tena mpenzi wangu Masai dada, penda sana chipenzi

bigmind

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2015
Posts
12,457
Reaction score
12,689
Joanhan, Miss natafuta, richaabra, Monica na Paprika jiandae ujio mpya wa MASAI DADA hauwezi kuwaacha juu lazima mpromoke aisei hapa JF.

Siku hizi kuna wadada maandagraundi kibao km kwenye mambo yetu ya kupekenyua wanajifanya kuyajua mpaka wakongwe km misschagga, madam B na Evelyn Salt wakawa wamepotezwa ila nimeona EXPERT wangu MASAI DADA karudi jf. Miaka sasa km mitatu au miwili hivi sijamuona wala kumsikia.

Karibu tena mpenzi wangu!
 
Masai dada anarudi tena?
Sidhani,itakuwa mtu kaamua kutumia ID yake coz huyu mtu nimemtafuta sn
 
Masai Dada, miss chaga na evenly salt ni untouchable wako juu kama Obama Hilo halipingiki
 
Joanhan, Miss natafuta, richaabra, Monica na Paprika jiandae ujio mpya wa MASAI DADA hauwezi kuwaacha juu lazima mpromoke aisei hapa JF.

Kumbe nilikuwa juu eee??
UngeniPM buana kunifahamisha kuwa nipo juu humu ili niringe while i can

Ona sasa unasema masai dada is back n sijawahi kupata hata feeling ya kuwa juu[emoji17] [emoji17]
 
Kwasababu mm sio dada basi siwez kucgangia kwenye uzi wa masai dada
 
Duuuuu ww mkali maaan ulikuwaga na dem maasai aya bwan endelea na huy maasai wako km amekuja Ok poa w enjoy naye
 
Wakongwe lazima wapewe heshima yao!!! Karibu tena wifi yangu kwa bigmind!
Mmhh..! Jamani alikuwa mpenzi wangu wa hapa jf, nikaibiwa na kibaka mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…