Karibu tujadiliane: Changamoto ya tabia zetu Waafrika ukilinganisha na watu wa Mataifa mengine Duniani

Karibu tujadiliane: Changamoto ya tabia zetu Waafrika ukilinganisha na watu wa Mataifa mengine Duniani

Heart Wood.

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
982
Reaction score
1,179
Wakuu,

Ukitembea tembea Duniani utagundua tabia za watu huendana na race yao. Mfano unakuta watu wa Afrika karibia wote tunataka kufanana tabia zetu isipokuwa watu wachache sana. Najua suala la tabia huweza kubadilika kutokana na factors mbalimbali, hivyo naimani kupitia uzi huu huenda tukabadilika kiasi flani.

Mie nitaanza kutaja tabia moja baada ya nyingine!

I) Sisi ni wavivu sana.
Yaani unakuta mtu anatamani kupata ajira ila hataki kazi. Yaani kuna ofisi nimewahi kufanya kazi, waajiriwa wengi hawapendi kabisa kazi. Wao wanapenda tu kupiga soga na wananuna wakipewa majukumu ya kufanya. Wanapenda zaidi kazi zenye posho posho. Ila posho isipokuwepo huoni kabisa morale yao... Hii ni tofauti na watu wa mataifa mengine.

ii) Sisi tunapenda sana connection ila tunalaumu viongozi wao wakipeana connection.
Unakuta mtu analaumu sana Viongozi wakipeana connection, ila yeye akipata fursa kidogo tu aanajaza watu wa familia/ndugu zake. Sasa kama na wewe unapenda connection unalaumu nini viongozi wakipeana connection. Hapa hoja ni kuwa sisi Waafrika tunaendekeza sana masuala ya kujuana na si uwezo wa mtu na kushindana kwa uwazi na uhuru.

iii) Sisi tunapenda sana mambo ya ushirikiana.
Aisee yaani unakuta watu wanakuambia wazi kabisa kuwa bila kwenda kwa Sangoma huwezi kutoboa kwenye kazi au biashara. Inashangaza sana.

iv) Tunapenda sana vyeo
Yaani unakuta mtu full kujipendekeza kwenye kazi utadhani anapenda kutimiza majukumu yake vizuri ila kumbe anajipendekeza kusaka cheo. Hatari sana aisee.

v)Hatujai kabisa masuala ya muda
Yaani mkipeana miadi ya kukutana muda flani watu hawajali kabisa muda

vi)Tunapenda sana ngono
Aisee, yaani mbaba/mkaka akimuona tu binti mzuri tayari ameshajijengea picha kuwa ampate vipi na afanye naye ngono. Yaani mwanamme akimuona msichana mzuri jambo la kwanza linalomjilia kichwani kwake ni ngono. Hatari sana hii.

vii) Viongozi wengi ni wabinafsi sana
Yaani mtu akipata nafasi yeye anachojua ni namna gani atapiga. Ni namna gani atajinufaisha kwa nafasi aliyonayo. Viongozi wengi ni matajiri ila ukifuatilia pesa walizonazo hazilingani na vipato vyao vya halali. Mjomba nii hivi mapesa yote, magari na majumba tutayaacha hapa hapa duniani.

viii) Watoa huduma wengi hawajali mambo ya customer care/satisfaction
Hapa sanasana ni watumishi wa umma. Yaani watumishi wengi hawajali kabisa mahusiano mazuri na wateja wao. Majibu yao na kuongea kwao kumejaa viburi na dharau ajabu kabisa.

ix) Ni wajanja janja sana na sii waaminifu
Aisee, ukilinganisha na watu wa mataifa mengine, kwetu sisi janja janja na kutokuwa waaminifu ndo tabia zetu. Yaani si rahisi kuaminika. Muafrika akikwambia jambo jifikirie mara mbili mbili. Hii ni tofauti kabisa na watu wa mataifa mengine kama Uchina, Korea, North Amerika na Ulaya.

List inaendelea na wewe unaweza kuongeza ya kwako...
 
Watu weusi wengi sana at least 95% ya all Blacks population in the World Wana mapungufu makubwa sana kuhusiana na masuala ya tabia zao. Wana tabia mbaya nyingi zinazofanana.Nafikiri tatizo limeanzia kwenye ubongo (akili) zao na athari za kimaumbile na kimazingira.

Most of the Black people are Crooks, full of bad qualities, untrustworthy, etc, etc, etc.
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Tufafanulie Mkuu. Inahusiana vipi na mada hii?
 
kuna muafrika halafu kuna mtanzania naombeni msichanganye hapa!!
Aidha, pia kuna Waafrika na Kuna Watu weusi (Africans and Black people), hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.

Not all Africans are Black people, and not all Black people are Africans.
 
Wakuu,

Ukitembea tembea Duniani utagundua tabia za watu huendana na race yao. Mfano unakuta watu wa Afrika karibia wote tunataka kufanana tabia zetu isipokuwa watu wachache sana. Najua suala la tabia huweza kubadilika kutokana na factors mbalimbali, hivyo naimani kupitia uzi huu huenda tukabadilika kiasi flani.

Mie nitaanza kutaja tabia moja baada ya nyingine!

I) Sisi ni wavivu sana.
Yaani unakuta mtu anatamani kupata ajira ila hataki kazi. Yaani kuna ofisi nimewahi kufanya kazi, waajiriwa wengi hawapendi kabisa kazi. Wao wanapenda tu kupiga soga na wananuna wakipewa majukumu ya kufanya. Wanapenda zaidi kazi zenye posho posho. Ila posho isipokuwepo huoni kabisa morale yao... Hii ni tofauti na watu wa mataifa mengine.

ii) Sisi tunapenda sana connection ila tunalaumu viongozi wao wakipeana connection.
Unakuta mtu analaumu sana Viongozi wakipeana connection, ila yeye akipata fursa kidogo tu aanajaza watu wa familia/ndugu zake. Sasa kama na wewe unapenda connection unalaumu nini viongozi wakipeana connection. Hapa hoja ni kuwa sisi Waafrika tunaendekeza sana masuala ya kujuana na si uwezo wa mtu na kushindana kwa uwazi na uhuru.

iii) Sisi tunapenda sana mambo ya ushirikiana.
Aisee yaani unakuta watu wanakuambia wazi kabisa kuwa bila kwenda kwa Sangoma huwezi kutoboa kwenye kazi au biashara. Inashangaza sana.

iv) Tunapenda sana vyeo
Yaani unakuta mtu full kujipendekeza kwenye kazi utadhani anapenda kutimiza majukumu yake vizuri ila kumbe anajipendekeza kusaka cheo. Hatari sana aisee.

v)Hatujai kabisa masuala ya muda
Yaani mkipeana miadi ya kukutana muda flani watu hawajali kabisa muda

vi)Tunapenda sana ngono
Aisee, yaani mbaba/mkaka akimuona tu binti mzuri tayari ameshajijengea picha kuwa ampate vipi na afanye naye ngono. Yaani mwanamme akimuona msichana mzuri jambo la kwanza linalomjilia kichwani kwake ni ngono. Hatari sana hii.

vii) Viongozi wengi ni wabinafsi sana
Yaani mtu akipata nafasi yeye anachojua ni namna gani atapiga. Ni namna gani atajinufaisha kwa nafasi aliyonayo. Viongozi wengi ni matajiri ila ukifuatilia pesa walizonazo hazilingani na vipato vyao vya halali. Mjomba nii hivi mapesa yote, magari na majumba tutayaacha hapa hapa duniani.

viii) Watoa huduma wengi hawajali mambo ya customer care/satisfaction
Hapa sanasana ni watumishi wa umma. Yaani watumishi wengi hawajali kabisa mahusiano mazuri na wateja wao. Majibu yao na kuongea kwao kumejaa viburi na dharau ajabu kabisa.

ix) Ni wajanja janja sana na sii waaminifu
Aisee, ukilinganisha na watu wa mataifa mengine, kwetu sisi janja janja na kutokuwa waaminifu ndo tabia zetu. Yaani si rahisi kuaminika. Muafrika akikwambia jambo jifikirie mara mbili mbili. Hii ni tofauti kabisa na watu wa mataifa mengine kama Uchina, Korea, North Amerika na Ulaya.

List inaendelea na wewe unaweza kuongeza ya kwako...
Umetaja sifa za mtu masikini na ndio tatizo hasa la mtu mweusi, sifa/tabia zake ndizo zinamuangusha.

Tabia nisizozipenda:

Utamaduni wa kujenga nyumba ikazungukwa na uzio mkubwa na mageti utadhani unaishi gerezani. Hii ni ishara ya uchoyo na umimi.

Kutokujali mazingira, tumebarikiwa uoto mzuri na mazingira safi ila wakazi wake sasa ni kichefuchefu.

Kutoshighulisha akili, mtu mweusi ni bingwa wa kukopi na kupesti. Akili kisoda hana ubunifu wa kuanzisha jambo.

Usaliti, mtu mweusi hana uzalendo hata kidogo ndo maana project nyingi za joint zina feli sababu ya usaliti na tamaa za mtu mweusi.

Mtu mweusi huwa anajitoa kwenye uwajibikaji, anaona yupo atakaye muwajibikia bila uhusika wake. Ni mlalamishi sana linapokuja swala la uwajibikaji.

Mtu mweusi ana akili kisoda, walioamka ni wale waliotambua kuishi kwa kusudi lao yaani kuwajibika ili kuleta matokeo yatakayonufaisha jamii na dunia kwa ujumla na si yeye binafsi na familia yake tu.
 
Ukiona watumishi dar jioni wanaingia kwenye daladala kwa dirishani ujue hapo ni bongo 100%
 
Most of the Black people are Crooks, full of bad qualities, untrustworthy, etc, etc, etc.
Ecer met wit people who claim to represent Africans from the roots, misingi?

Tafuta Rastaman mmoja awe rafiki yako utajifunza mengi.

Watu hawajaujua ukoloni kikwelikweli, wanatumia kile walichoambiwa na wakoloni kuwa wao ni kumbe walaaaaa wao sio hao wanaoambiwa kuwa wao ni🤯.

Mfano suala la wizi, hebu nenda maeneo ya vijiji ambapo usasa haujatamalaki uangalie viwango vya wizi halafu nenda linganisha na huko mijini kwa hao watu walioelimishwa kuwa wao ni akina nani?

Soma Imani za jadi, soma Facing mount Kenya halafu utajionea tamaduni halisi. Imfikie na Heart Wood.
 
Wakuu,

Ukitembea tembea Duniani utagundua tabia za watu huendana na race yao. Mfano unakuta watu wa Afrika karibia wote tunataka kufanana tabia zetu isipokuwa watu wachache sana. Najua suala la tabia huweza kubadilika kutokana na factors mbalimbali, hivyo naimani kupitia uzi huu huenda tukabadilika kiasi flani.

Mie nitaanza kutaja tabia moja baada ya nyingine!

I) Sisi ni wavivu sana.
Yaani unakuta mtu anatamani kupata ajira ila hataki kazi. Yaani kuna ofisi nimewahi kufanya kazi, waajiriwa wengi hawapendi kabisa kazi. Wao wanapenda tu kupiga soga na wananuna wakipewa majukumu ya kufanya. Wanapenda zaidi kazi zenye posho posho. Ila posho isipokuwepo huoni kabisa morale yao... Hii ni tofauti na watu wa mataifa mengine.

ii) Sisi tunapenda sana connection ila tunalaumu viongozi wao wakipeana connection.
Unakuta mtu analaumu sana Viongozi wakipeana connection, ila yeye akipata fursa kidogo tu aanajaza watu wa familia/ndugu zake. Sasa kama na wewe unapenda connection unalaumu nini viongozi wakipeana connection. Hapa hoja ni kuwa sisi Waafrika tunaendekeza sana masuala ya kujuana na si uwezo wa mtu na kushindana kwa uwazi na uhuru.

iii) Sisi tunapenda sana mambo ya ushirikiana.
Aisee yaani unakuta watu wanakuambia wazi kabisa kuwa bila kwenda kwa Sangoma huwezi kutoboa kwenye kazi au biashara. Inashangaza sana.

iv) Tunapenda sana vyeo
Yaani unakuta mtu full kujipendekeza kwenye kazi utadhani anapenda kutimiza majukumu yake vizuri ila kumbe anajipendekeza kusaka cheo. Hatari sana aisee.

v)Hatujai kabisa masuala ya muda
Yaani mkipeana miadi ya kukutana muda flani watu hawajali kabisa muda

vi)Tunapenda sana ngono
Aisee, yaani mbaba/mkaka akimuona tu binti mzuri tayari ameshajijengea picha kuwa ampate vipi na afanye naye ngono. Yaani mwanamme akimuona msichana mzuri jambo la kwanza linalomjilia kichwani kwake ni ngono. Hatari sana hii.

vii) Viongozi wengi ni wabinafsi sana
Yaani mtu akipata nafasi yeye anachojua ni namna gani atapiga. Ni namna gani atajinufaisha kwa nafasi aliyonayo. Viongozi wengi ni matajiri ila ukifuatilia pesa walizonazo hazilingani na vipato vyao vya halali. Mjomba nii hivi mapesa yote, magari na majumba tutayaacha hapa hapa duniani.

viii) Watoa huduma wengi hawajali mambo ya customer care/satisfaction
Hapa sanasana ni watumishi wa umma. Yaani watumishi wengi hawajali kabisa mahusiano mazuri na wateja wao. Majibu yao na kuongea kwao kumejaa viburi na dharau ajabu kabisa.

ix) Ni wajanja janja sana na sii waaminifu
Aisee, ukilinganisha na watu wa mataifa mengine, kwetu sisi janja janja na kutokuwa waaminifu ndo tabia zetu. Yaani si rahisi kuaminika. Muafrika akikwambia jambo jifikirie mara mbili mbili. Hii ni tofauti kabisa na watu wa mataifa mengine kama Uchina, Korea, North Amerika na Ulaya.

List inaendelea na wewe unaweza kuongeza ya kwako...
Wa Africa hawana tabia mbaya ila kilichofanyika ni kulazimishwa kuishi utamaduni na tabia za races nyingine. Sisi miaka yote tumeish bila shida. Ila tangu tulipolazimishwa kuwa wa kisasa tukaacha mila disturb na utamaduni wetu tumekuwa vituko. Maana kwa asili hatuwez kuwa wao ila kutatokea vurugu. Ewe mzaramo jaribu kuwa mzaramo utaona kila kitu ni kizur. Nk nk nk. Kumbuka nature never change.
 
Wa Africa hawana tabia mbaya ila kilichofanyika ni kulazimishwa kuishi utamaduni na tabia za races nyingine. Sisi miaka yote tumeish bila shida. Ila tangu tulipolazimishwa kuwa wa kisasa tukaacha mila disturb na utamaduni wetu tumekuwa vituko. Maana kwa asili hatuwez kuwa wao ila kutatokea vurugu. Ewe mzaramo jaribu kuwa mzaramo utaona kila kitu ni kizur. Nk nk nk. Kumbuka nature never change.

Tumelazimishwa na nani? yani mwanamme mzima unalalamika umelazimishwa? typical African mentality
 
Tumelazimishwa na nani? yani mwanamme mzima unalalamika umelazimishwa? typical African mentality
We si ulikuwa unaish porin bila nguo kama mnyama ukalazimishwa na mzungu kwenda shule chief au hiz mambo zilikuwepo kabla mzungu hajaja. Ukizidiwa kubali ujipange sio kujifanya masikin jeuri matokeo yake hujifunz zaid ya kulalamika. Haya maisha ni kujifunza sio kujifanya unajua wakat hujui. Wachina wamejifunza sana kwa mzungu na kuwaibia sana teknolojia mpaka walipojua how things work ndio wakawa na kiburi. Miafrica imebaki kushindana tu utafikir itaondoa ukweli kuwa tuliwah kuswagwa kama mbuzi mnadan.
 
Watu weusi wengi sana at least 95% ya all Blacks population in the World Wana mapungufu makubwa sana kuhusiana na masuala ya tabia zao. Wana tabia mbaya nyingi zinazofanana.Nafikiri tatizo limeanzia kwenye ubongo (akili) zao na athari za kimaumbile na kimazingira.

Most of the Black people are Crooks, full of bad qualities, untrustworthy, etc, etc, etc.
Acha kudanganya watu,na kuchukulia watu wote kama mlivyo kwenu
 
Back
Top Bottom