yussufhajj
Member
- Mar 24, 2016
- 27
- 8
Habari zenu wadau , kwa pamoja naomba tujadili uendeshaji mzima wa taasisi za kiraia
( jumuiya zisizo za kiserikali) . Hapa nataka tujifunze mambo mbali mbali kuhusu taasisi hizo na tupate uzoefu wa kuziendesha.
Kama upo katika taasisi fulani nataka utujuze miradi yenu , mafanikio na changamoto mnazo kabiliana nazo,
Kama hupo katika taasisi yoyote nahitaji maoni yako , ushauri au kama una wazo lolote la kutoa ambalo unahisi taasisi zikilitekeleza zitakwenda mbele,
Mwisho napenda kujitambulisha mm naitwa yussuf hajj mjumbe kamati tendaji kwaboko youth development association
( kwayda ).
"MITANDAO YA KIJAMII KWA AJILI YA MAENDELEO"
( jumuiya zisizo za kiserikali) . Hapa nataka tujifunze mambo mbali mbali kuhusu taasisi hizo na tupate uzoefu wa kuziendesha.
Kama upo katika taasisi fulani nataka utujuze miradi yenu , mafanikio na changamoto mnazo kabiliana nazo,
Kama hupo katika taasisi yoyote nahitaji maoni yako , ushauri au kama una wazo lolote la kutoa ambalo unahisi taasisi zikilitekeleza zitakwenda mbele,
Mwisho napenda kujitambulisha mm naitwa yussuf hajj mjumbe kamati tendaji kwaboko youth development association
( kwayda ).
"MITANDAO YA KIJAMII KWA AJILI YA MAENDELEO"