Karibu tukuhudumie kusajili biashara, kampuni, NGO, vikundi

M. Mwakalonge

Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
49
Reaction score
4
ANJOA COMPANY LIMITED
- Tunasaidia (assist) kurasimisha biashara yako (kusajili biashara),
-Tunasaidia (assist) kusajili kampuni na NGO
- Tunaandika michanganuo ya biashara (business plan)
-Tunaandaa mahesabu
- Tunasaidia (assist) kuanzisha taasisi za mikopo na jinsi ya kuziendesha
- Kwa mawasiliano, piga simu zifuatazo.0759-692024 au 0688-510564 Email us: anjoa_limited@yahoo.com
Au fika ofisini kwetu, Dar es Salaam, Kinondoni – Manyanya, Togo street, plot number 332, Jengo lililo karibu na Togo tower, ghorofa ya tatu.
 
Na vipi kuhusu business proposals, mnafanya hizo shughuli?
Mfano, mtu ana joint venture na international company, lakini hawajui ni investment gani wanaweza kuwekeza hapa TZ kwa sababu hawana uzoefu na nchi, mnatoa huduma za consultation?
 
Sure tunafanya Eli79. Katika hilo tutahitaji kuongea kwa kirefu na undani na wewe. maana biashara huanza na wazo. Consultant anakusaidia kuliframe, kulidesign na kuliimplement wazo lako. Si afya sana consultant ndio akupe wazo japo inawezekana, wazo unatakiwa ulibuni mwenyewe. consultant tutakusaidia wazo hilo likubalike na hao wenzako ambao uko nao joint venture.
Napendekeza tuonane tuweze kuongea kwa kirefu. unaweza kuja ofisini kwangu au vinginevyo. Karibu sana. send me your contact at anjoa_limited@yahoo.com or 0759692024. Thank you
 
Rasimisha biashara yako ili utambulike na mifumo rasmi na unufaike na fursa mbalimbali. karibu Anjoa Company Ltd tukuhudumie
Kwa mawasiliano, piga simu zifuatazo.0759-692024 au 0688-510564 Email us: anjoa_limited@yahoo.com
Au fika ofisini kwetu, Dar es Salaam, Kinondoni – Manyanya, Togo street, plot number 332, Jengo lililo karibu na Togo tower, ghorofa ya pili.
 
Thanx bro...!!
Utaniona huko kwa mail soon..!
 
Kwani huko mbali na mkoa waliokutajia?

Katika hiyo joint venture yako niingize na mie best

Nipo mkoa huo lakini lazma kubadilishana mawili matatu kabla ya kupanga kukutana...
..hata hivyo hiyo venture hainihusu mimi....
..kuna mtu anafikiri kufanya hivyo lakini hajui aanze vipi..!
 
haaaaa kumbe ni vizuri sana ila sasa mwenye hiyo venture mwambie uniunganishe naye huko
Nipo mkoa huo lakini lazma kubadilishana mawili matatu kabla ya kupanga kukutana...
..hata hivyo hiyo venture hainihusu mimi....
..kuna mtu anafikiri kufanya hivyo lakini hajui aanze vipi..!
 
Ili biashara yako iweze kufanikiwa, moja ya mambo ya msingi kufanya ni kuitenganisha biashara yako na wewe mwenyewe. mapato na matumizi ya biashara yasiingiliane na mapato na matumizi yako binafsi. Hutaweza kufanya hayo kama biashara yako haijasajiliwa hivyo kuwa na jina lake ambapo utaweza kufungua akaunti ya benki yenye jina la biashara yako. SAJILI SASA JINA LA BIASHARA AU KAMPUNI. waone ANJOA COMPANY LIMITED (BUSINESS CONSULTANCY COMPANY) Wakuhudumie ili kufanikisha hayo, Kwa mawasiliano, piga simu zifuatazo.0759-692024 au 0688-510564 Email us: anjoa_limited@yahoo.comAu fika ofisini kwetu, Dar es Salaam, Kinondoni – Manyanya, Togo street, plot number 332, Jengo lililo karibu na Togo tower, ghorofa ya pili.
 
Ili biashara yako iweze kufanikiwa, moja ya mambo ya msingi kufanya ni kuitenganisha biashara yako na wewe mwenyewe. mapato na matumizi ya biashara yasiingiliane na mapato na matumizi yako binafsi. Hutaweza kufanya hayo kama biashara yako haijasajiliwa hivyo kuwa na jina lake ambapo utaweza kufungua akaunti ya benki yenye jina la biashara yako. SAJILI SASA JINA LA BIASHARA AU KAMPUNI. waone ANJOA COMPANY LIMITED (BUSINESS CONSULTANCY COMPANY) Wakuhudumie ili kufanikisha hayo, Kwa mawasiliano, piga simu zifuatazo.0759-692024 au 0688-510564 Email us: anjoa_limited@yahoo.comAu fika ofisini kwetu, Dar es Salaam, Kinondoni – Manyanya, Togo street, plot number 332, Jengo lililo karibu na Togo tower, ghorofa ya pili.
 
ANJOA COMPANY LIMITED
- Tunasaidia (assist) kurasimisha biashara yako (kusajili biashara),
-Tunasaidia (assist) kusajili kampuni na NGO
- Tunaandika michanganuo ya biashara (business plan)
-Tunaandaa mahesabu
- Tunasaidia (assist) kuanzisha taasisi za mikopo na jinsi ya kuziendesha
- Kwa mawasiliano, piga simu zifuatazo.0759-692024 au 0688-510564 Email us: anjoa_limited@yahoo.com
Au fika ofisini kwetu, Dar es Salaam, Kinondoni – Manyanya, Togo street, plot number 332, Jengo lililo karibu na Togo tower, ghorofa ya tatu.
 
ANJOA COMPANY LIMITED
- Tunasaidia (assist) kurasimisha biashara yako (kusajili biashara),
-Tunasaidia (assist) kusajili kampuni na NGO
- Tunaandika michanganuo ya biashara (business plan)
-Tunaandaa mahesabu
- Tunasaidia (assist) kuanzisha taasisi za mikopo na jinsi ya kuziendesha
- Kwa mawasiliano, piga simu zifuatazo.0759-692024 au 0688-510564 Email us: anjoa_limited@yahoo.com
Au fika ofisini kwetu, Dar es Salaam, Kinondoni – Manyanya, Togo street, plot number 332, Jengo lililo karibu na Togo tower, ghorofa ya pili.
 
Ndugu Kayimkaa, biashara ndio inayorasimishwa sio kampuni. Kampuni inasajiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…