last Commando JF-Expert Member Joined May 13, 2023 Posts 233 Reaction score 304 Nov 6, 2023 #1 Salam, wakuu nimeweka picha ya Ramani ya nyumba ninayotaka kujenga mwakani baada msimu wa masika kuisha. Ningependa kupewa ufafanuzi juu ya gharama zote za ujenzi hadi furniture mpaka kukamilika kwa nyumba hii. Karibu wadau.
Salam, wakuu nimeweka picha ya Ramani ya nyumba ninayotaka kujenga mwakani baada msimu wa masika kuisha. Ningependa kupewa ufafanuzi juu ya gharama zote za ujenzi hadi furniture mpaka kukamilika kwa nyumba hii. Karibu wadau.
Baba Rhobi JF-Expert Member Joined Nov 4, 2020 Posts 1,611 Reaction score 2,881 Nov 6, 2023 #2 Hapo we tafuta injinia au fundi mzoefu, hakuna wa kukupa huo mchanganuo hapa.
Mlatino Zeshalo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2014 Posts 2,130 Reaction score 3,599 Nov 6, 2023 #3 Hiyo nyumba au godown?
msondomba JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 1,895 Reaction score 2,410 Nov 6, 2023 #4 last Commando said: Salam, wakuu nimeweka picha ya Ramani ya nyumba ninayotaka kujenga mwakani baada msimu wa masika kuisha. Ningependa kupewa ufafanuzi juu ya gharama zote za ujenzi hadi furniture mpaka kukamilika kwa nyumba hii. Karibu wadau.View attachment 2805925 Click to expand... Watakuja
last Commando said: Salam, wakuu nimeweka picha ya Ramani ya nyumba ninayotaka kujenga mwakani baada msimu wa masika kuisha. Ningependa kupewa ufafanuzi juu ya gharama zote za ujenzi hadi furniture mpaka kukamilika kwa nyumba hii. Karibu wadau.View attachment 2805925 Click to expand... Watakuja
uttoh2002 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17,060 Reaction score 32,400 Nov 6, 2023 #5 last Commando said: Salam, wakuu nimeweka picha ya Ramani ya nyumba ninayotaka kujenga mwakani baada msimu wa masika kuisha. Ningependa kupewa ufafanuzi juu ya gharama zote za ujenzi hadi furniture mpaka kukamilika kwa nyumba hii. Karibu wadau.View attachment 2805925 Click to expand... Hakuna vipimo
last Commando said: Salam, wakuu nimeweka picha ya Ramani ya nyumba ninayotaka kujenga mwakani baada msimu wa masika kuisha. Ningependa kupewa ufafanuzi juu ya gharama zote za ujenzi hadi furniture mpaka kukamilika kwa nyumba hii. Karibu wadau.View attachment 2805925 Click to expand... Hakuna vipimo
last Commando JF-Expert Member Joined May 13, 2023 Posts 233 Reaction score 304 Nov 6, 2023 Thread starter #6 Mlatino Zeshalo said: Hiyo nyumba au godown? Click to expand... Acha zarau
Mlatino Zeshalo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2014 Posts 2,130 Reaction score 3,599 Nov 6, 2023 #7 last Commando said: Acha zarau Click to expand... Umejoin kutokea wapi mkuu? Kumbuka hapa siyo facebook, so kaa kwa kutulia
last Commando said: Acha zarau Click to expand... Umejoin kutokea wapi mkuu? Kumbuka hapa siyo facebook, so kaa kwa kutulia