Karibu ufurahi pamoja nasi katika baraka ya ndoa mkesha wa pasaka

Karibu ufurahi pamoja nasi katika baraka ya ndoa mkesha wa pasaka

Benno

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2009
Posts
332
Reaction score
51
:flypig::flypig:
Karibu ufurahi pamoja nasi siku hii muhimu ya ndoa yangu tarehe 23.04.2011.
Nakufuatia na mashamla shamla siku ya pasaka 24.04.2011. :flypig::flypig:

























Wona wegana kuhika ni jovila mapema,Ne nani na munu?
 
Weka comment hapa JF nasi tutafurahia au??Maana ujaweka venue but i hope ni Jf!!
 
Asante kwa mwaliko, nadhani venue itakuwa hapa Jf.
 
Misa Itafanyika Kanisa Katoliki la Mongola Ndege- Parokia ya Segerea: Usiku wa Pasaka
Mashamlashamla: Kadenge Executive Social Hall


































Wona wegana kuhika ni jovila mapema,Ne nani na munu
 
nawatakia kila la heri muifanye sala kiungo cha familia yenu kumuepuka muovu shetani.
 
Hongera
asante kwa mwaliko
mshirikishe Mungu kwa kila jambo
bila Mungu kuwepo pamoja nanyi yapo mambo mengi
yatakayo sababisha ndoa kugeuka kuwa ndoano
 
Back
Top Bottom