Ipo moja pale Nyasaka Center moja ilikuwa imejengwa kama chuo cha nursing, itamfaa huyoCHANGAMOTO YA LEO!!
MTU AMENIPA KAZI NGUMU SANA anataka nimtafutie majengo ya SHULE ayakodishe nimeshangaaa sana namuambia nimuuzie eneo kubwa ajenge SHULE yake alochonijibu nimebaki mdomo wazi (yaani n kama matajiri wa KIHINDI wanachukia KUJENGA SANA)
IgimoIpo moja pale Nyasaka Center moja ilikuwa imejengwa kama chuo cha nursing, itamfaa huyo
Wapangaji 2 tu mmiliki wa nyumba yupo mbaliIgoma
Chumba sebure
Bei elfu 70kwa mwz
Miezi mitatu
Anapokea
Dkika 2 kutoka stend
0767241001whatsupView attachment 1153582View attachment 1153583View attachment 1153584View attachment 1153585View attachment 1153586View attachment 1153587View attachment 1153588View attachment 1153589View attachment 1153591View attachment 1153592
Bugando/ Bugarika mbona sioni? Ama wewe hudili na maeneo haya?Wapangaji 2 tu mmiliki wa nyumba yupo mbali
Mkuu nyumba zipo nyingi tu huko lkn kama utaeleza sifa ya nyumba unayotaka na bajeti yako mkuu(pia nimechukua kama changamoto asante)Bugando/ Bugarika mbona sioni? Ama wewe hudili na maeneo haya?
Ongeza na magari, pikipiki.Mkuu nyumba zipo nyingi tu huko lkn kama utaeleza sifa ya nyumba unayotaka na bajeti yako mkuu(pia nimechukua kama changamoto asante)
2 bedrooms na 1 sitting room.Mkuu nyumba zipo nyingi tu huko lkn kama utaeleza sifa ya nyumba unayotaka na bajeti yako mkuu(pia nimechukua kama changamoto asante)
Unataka lini mkuu??2 bedrooms na 1 sitting room.
Iwe karibu na barabara.
Bugarika center ama bugando.
Mwezi huuUnataka lini mkuu??
Kwa Sasa ivi wengi wanapokea tuuuuuuHivi ni kwanini wenye nyumba hawapendi pokea kodi ya miezi mitatu???
Mwanzoni tu lkn ukishaingia wanapokea hata kodi ya kila mwenzi maisha yashabadilika mkuu nyumba nyingi ziko wazi kwa sababu ya masharti yao huko mbele watapokea kodi ya siku kama gestiKwa Sasa ivi wengi wanapokea tuuuuuu