House4Rent Karibu upate nyumba ya kupanga Mwanza

Bado mnatafuta NYUMBA/PLOT MWANZA?

  • 1.Ndio

    Votes: 5 83.3%
  • 2.Hapana

    Votes: 1 16.7%
  • 3.Sijui

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    6
  • Poll closed .
BUZURUGA MWANANCHI
VYUMBA VITATU
MASTER 1
SEBURE KUBWA KAMA UWANJA WA MPIRA
JIKO&STORE
PUBLIC TOILET
BEI MIL 3 KWA MWAKA
PARKING KUBWA SANA
MIEZI 6√√√
0767241001TUPIGIE
NB
NYUMBA NZIMA ZINAZOJITEGEMEA ZIPO ZINAANZIA MIL 3 nk
Viwanja mil 1.5 nk
Nyumba za kununua kuanzia
Mil 6.5 nk KARIBUNI SANA
View attachment 1314065

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAMBO MUHIMU SANA YA KUZINGATIA WKT UNATAKA KUNUNUA NYUMBA AU KIWANJA TAFADHARI
i.N vzr sana kununua Viwanja ambavyo
vimepimwa
ii.Kabla yakufanya malipo n vzr ukamleta afisa Ardhi wako acheki eneo vzr(kuna watu wanang'oa BIKONI ZA WATU WENGINE WANABANDIKA KWENYE VIWANJA VYAO WANASEMA KIMEPIMWA)/kama huna nitakupa Wa kwangu utamlipa elf 50 au lk 1 kutokana na umbali
iii.Wkt wakufanya malipo n vzr akawepo na mwanasheria wako ili Biashara ifanyike kisheria kama huna ntakupa mwanasheria Wangu utamlipa lk 2
iv.Serekali ya mtaa husika ishirikishwe toka hatua za awali hadi hatua ya mwisho ya manunuzi
v.Wkt wakununua Kiwanja au Nyumba hakikisha Mme na mke wanakuwepo wote na wanabandika picha zao,majina yao,namba za simu zao za NIDA na sahihi zao kama n Kiwanja cha URITHI AU UKOO WAWEPO WANANDUGU WOTE

Fanyeni hivi wkt wote usikwepe hawa watu wote eti UNAPUNGUZA GHARAMA SIO VIZURI (bora usinunue kabisa ukajipange kwanza) na hakuna SHORT CUT HAPA

CHANGAMOTO
Msisahau kwamba kuna HATI FEKI,SKETCHI FAKE,NYUMBA AU KIWANJA ANAUZA MME MKE KESHO ANAFUNGUA KESI MAHAKAMANI NYUMBA N YA FAMILIA nk. VURUGU N NYINGI SANA KTK ARDHI MUNGU AWABARIKI SANA

0767241001Kwa mahitaji ya Nyumba za kupanga popote MWANZA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Buhongwa Nyakagwe
Vyumba vitatu
Dinning&sitting room
Jiko&store
Umeme na maji amisha lipia
Bei mil 23
Bado finishing ndogo ndogo mfn. Tailizi&gypsomeboard na
rangi
Mazungumzo yapo
0767241001TUPIGIE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KISHIRI
NYUMBA INAUZWA
VYUMBA VITATU
SITTING & DINNING
JIKO&STORE
BADO FINISHING NDOGO NDOGO
Mfn gypsomeboard, tailiz
,rangi,madirisha nk.
BEI MIL 17.5
MAZUNGUMZO YAPO
0767241001 TUPIGIE
NB
TUNAZO NYUMBA ZA KUNUNUA KUANZIA MIL 6.5 hadi Bil 2.5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ISAMILO
TWO MASTER ROOMS
SITTING ROOM
KITCHEN&STORE
FULL FURNITURE
PRICE 1MIL PER MONTHLY
PAYMENT CONDITION SIX MONTHS
3 HOUSES IN 1 COMPOUND DIFFERENT GATE(1 house belong to ITALIAN, 2 owned by Spanyorian and other have no Tenant)
0767241001 CONTACT WITH US
Nyumba nilizonazo za kupanga zinaanzia elf 40 nk. Karibu tukuhudumie popote Mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NYANG'OMANGO
KIWANJA KINAUZWA
UKUBWA N ft 40*60
UPIMAJI SHIRIKISHI
BEI MIL 4.5
MAZUNGUMZO YAPO
MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIPO JRN
0767241001 TUPIGIE
NB
VIWANJA VIPO KILA SEHEMU MWANZA BEI KUANZIA MIL 1.5 nk KARIBU TUKUHUDUMIE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahina center
Nyumba mpya inapangishwa
Vyumba vitatu
Master 1
SITTING room
Dinning room
Jiko&store
Public TOILET
Parking kubwa
Maji&umeme 24/7
Usalama Wa kutosha
Bei mil 3 Kwa mwaka
Miezi 6XX
0767241001TUPIGIE

NB
NYUMBA ZA KUPANGA ZILIZOPO BEI INAANZIA ELF 40 nk.
NYUMBA ZA KUNUNUA BEI INANZA MIL 6.5 nk
Viwanja bei kuanzia mil 1.5 nk vilivyopimwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200108_042136_154.jpeg
    50.6 KB · Views: 2
  • IMG_20200108_042136_236.jpeg
    41.5 KB · Views: 2
NYAKATO
NYUMBA MPYA
INAPANGISHWA
VYUMBQ VIWILI
VYOTE MASTER
SITTING & DINNING
JIKO&STORE
MAJI&UMEME INAJITEGEMEA
NYUMBA NZR SANA SANA
USALAMA WAKUTOSHA
PARKING NZURI SANA
BEI MIL 6 KWA MWAKA
MIEZI 6√√√π
Ukilipa Kwa mwaka utapunguziwa 10%
0767241001 Tupigie
NB
Tunazo Nyumba za kupanga kila sehemu Mwza bei kuanzia elf 40nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ALLIANCE MAHINA
NYUMBA INAUZWA
VYUMBA VITATU
Sitting&dinning room
UMEME NA MAJI VIPO
DK 2 TOKA BARABARA KUU
Karibu sana na Shule za alliance
ENEO KUBWA SANA 60*60
Unaweza kufanya chochote
Mazungumzo yapo
Bei mil 52
0767241001Call/whatsup
NB
Nyumba zilizopo sokoni Leo
Bei kuanzia mil 6.5 hadi Bil 2.5 Mjini kati

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200108_190011.jpeg
    58.2 KB · Views: 2
IGOMA NDOFE
VYUMBA VITATU
MASTER 1
SITTING&DINNING RM
JIKO
PUBLIC TOILET
ENEO LIMEPIMWA
MIUNDO MBINU YA MAJI NA
UMEME IPO JIRANI
HAKUNA FENSI
BEI Mil 22
Mazungumzo XXXXXXXX
0767241001TUPIGIE

NB
BEI YA NYUMBA ZA KUNUNUA LEO N MIL 6.5 HADI BIL 2.5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MUKUYUNI
VYUMBA VIWILI SEBURE
MASTER MOJA
PUBLIC TOILET
MAJI&UMEME&FENI 24/7
BEI MIL 1.8
MIEZI 6 Anapokea
Hii Nyumba IPO mita 3 toka kwenye Rami Dk 2 kufika stend
0767241001 CALL/WHATSUP
NB
Mkuyuni Nina self 1 kubwa kama uwanja Wa netball BEI Elf 80 Kwa mwz IPO pembeni ya RAMI PIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200109_152817.jpeg
    31.5 KB · Views: 2
MABATINI
LODGE INAUZWA
VYUMBA VIPO 10
VYOTE N MASTER
UMEME&MAJI VIPO
ENEO LIMEKAA KIBIASHARA SANA
ENEO KUBWA
DOCUMENT ZOTE ZIPO
BEI MIL 40
MAZUNGUMZO XXXXXXX
Bado finishing ndogo ndogo mfn.Tailiz,rangi, fensi lkn gypsum board IPO
0767241001 TUPIGIE

NB
MTU anaeona mita elf 10 mbele hii Nyumba inamfaa sana


Nyumba za kununua zilizopo sokoni Leo bei kuanzia mil 6.5 hadi Bil 2.5 Mjn kati(Nyumba za kununua tunazo kila sehemu Mwanza)

Viwanja VIPO being kuanzia mil 1.5 nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NYAMUHONGORO
HOUSE FOR RENT
5 MASTER ROOMS
FULL FURNITURE
PRICE 25 MIL PER YEAR
ELECTRIC FENCES
SECURITY CAMERA
PAYMENT CONDITION
Landlord & tenant can discuss whether six months or 3 month etc
0767241001 CALL/WHATSUP
NB
tenant have own specification, rent price range from 40 thousand up to 2000$ @ month
WELCOME ALLView attachment 1318038

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MALIMBE SAUT
HOSTEL INAUZWA
VYUMBA 12 VYOTE N MASTER
ENEO LIMEPIMWA
UKUBWA 30*50
BEI MIL 135
MAZUNGUMZO YAPO
0767241001 TUPIGIE/WHATSUP
Wanachuo wanalipa kodi ya Chumba lk 8 hadi mil 1 Kwa mwaka wakipangishwa ktk HOSTEL HIZI
NB
Nyumba zilizopo sokoni Leo bei kuanzia mil 6.5 hadi Bil 2.5 Mjini kati MWANZA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FREMU IPO NELA
PEMBENI YA RAMI
UKUBWA WA HIKI CHUMBA N SAWA NA VYUMBA VYA KAWAIDA VITANO
INAFAA KWA SUPERMARKET
BEI UTAZUNGUMZA NA MMILIKI
0767241001 TUPIGE/WHATSUP
NB
TUNAZO FREMU ZA BIASHARA KILA SEHEMU BEI KUANZIA ELFU 40nk karibu tukuhudumie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa ya Survay Kwa kazi ya FREMU YA DUKA LA MADAWA AU SHELI N ELFU 40
KUNASHERIA KALI SANA NAMNA YA KUFUNGUA PHARMACY AU DUKA LA MADAWA AU SHELI N KAZI AMBAYO KUNAMIONGOZO MINGI SANA SIO KAZI YAB SIKU MOJA INAFANYIKA WK ZIMA+ sio kila sehemu/chubma/eneo/unaweza kufanya hiyo biashara
0767241001Tupigie

NB
UKILIPA PESA YAKO TUHAKIKISHA HADI KAZI YAKO IMEFANIKIWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shamba lipo KISHIRI fumagila
ENEO N FT 70*55
BEI MIL 5.5
Mazungumzo yapo
0767241001TUPIGIE
NB
Bei ya kununua nyumba leo mil 3.5 hadi Bil 2.5 Mjini kati.Kishiri center hapo nna chumba NA Sebure(familia inaishi ktk hiyo Nyumba) bei mil 3.5 NA eneo lilobaki kubwa sana pia pamepimwa MUUZAJI AMEKWAMA SANA SANA



Sent using Jamii Forums mobile app
 
CAPRI POINT
HOUSE FOR RENT
THREE MASTER ROOMS
SITTING & DINNING ROOM
KITCHEN & STORE
PUBLIC TOILET
SERVANT QUARTER WITH 2 ROOM AND KITCHEN
PAVE BLOCK PARKING
SECURITY CAMERA
PRICE $1200 PER MONTH
0767241001CALL/WHATSUP
NB
MOST OF THE HOUSE CAPRIPOINT,ISAMILO AND BWIRU PRICE RANGE FROM $500 TO $2000 PER MONTHLY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…