nyumbanzuribeinzuri
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 2,144
- 276
- Thread starter
-
- #1,421
Na mimi nimekusamehe kwa kuja kutangaza kitu bila picha husika.nimekusamehe ujui utendalo
Yaan kati ya watu ambao hamjielewi, wew ndio una washikia namba, kwahiyo huu uzi toka page namba moja hadi sasa pages 70+, hizo picha za nyumba zilizopo kila page umeziposti wew au? Au ndo kusema macho yako yanamatege, au ndo roho mbaya na wivu tu! Ningelikutukana ila ngoja nikuache tu, maana watu wengne huwa mnafaa kutembezewa kichapo kabsa! Asa we kama unaona jamaa anatangaza nyumba bila picha si unaachana nae, unatafta dalali unaemuona anatuma picha! Wew vip wew!nimekusamehe ujui utendalo
Achana nae huyo Boss wkt mwingine ndio changamoto za kimtandao tunafuta vumbi tunasonga MBELEYaan kati ya watu ambao hamjielewi, wew ndio una washikia namba, kwahiyo huu uzi toka page namba moja hadi sasa pages 70+, hizo picha za nyumba zilizopo kila page umeziposti wew au? Au ndo kusema macho yako yanamatege, au ndo roho mbaya na wivu tu! Ningelikutukana ila ngoja nikuache tu, maana watu wengne huwa mnafaa kutembezewa kichapo kabsa! Asa we kama unaona jamaa anatangaza nyumba bila picha si unaachana nae, unatafta dalali unaemuona anatuma picha! Wew vip wew!
Sawa sawa Mwamba, endelea kuchapa kazi, mi naamin unasomeka na unaeleweka kwa post zako!Achana nae huyo Boss wkt mwingine ndio changamoto za kimtandao tunafuta vumbi tunasonga MBELE
Sasa mzee laki kwa siku hiyo ni hotel au?NYASAKA
FULL FERNITURES APARTMENT FOR RENT
2 MASTER BED ROOMS
SITTING
DINNING
KITCHEN
STORE
HEATER
PRICE PER DAY 100,000/=TSH
IF ABOUT 30 DAYS
2100,000/= TSH
0767241001View attachment 1847057View attachment 1847058View attachment 1847059View attachment 1847060View attachment 1847061View attachment 1847065View attachment 1847067View attachment 1847068
Apartment za hivi n chache Sana Mwanza, Boss Kama umewahi Kuja na familia yako Mwanza labda uwe na WATOTO wadogo UTAJUA VXR HIYO CHANGAMOTOSasa mzee laki kwa siku hiyo ni hotel au?