Karibu usahihishe makosa yangu hapa

Karibu usahihishe makosa yangu hapa

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Habari za leo wakubwa,
Nimeamua kujifunza kupitia jukwaa hili nikiamini katika, jukwaa hili kuna walimu wa hivi vitu na wataalam mbalimbali.
Kiukweli nimeamua kujifunza kudizaini nyumba mimi mwenyewe. Sijasomea uchoraji popote. Nilianza kutokea sifuri mimi mwenyewe na hapa ndipo nilipofikia na bado naendelea huwa sikati kwa jambo nililo amua kulifanya.
Madhumuni makubwa ya kujifunza nina kwasababu napenda tu kama vile mtu anavyopenda kucheza mpira ili kuchangamsha ubongo na kuburudika namimi napenda kudizaini hizi nyumba kwasababu kama hizo ili tu nichangamshe ubongo na kuburudika.

Hivyo niliona kupitia jukwaa hili nitajifunza mengi na kupata changamoto mbalimbali ambazo zitanifunza na kunipa moyo zaidi.

Ningekua na muda ningeenda chuo kabisa nijifunze changamoto yangu ipo kwenye muda wa kwenda huko chuo.

Ninakubali na kuheshimu michango yote ya wadau katika jukwaa hili.

Sasa leo nimekuja na hii dezaini tafadhari kama kuna makosa nimeyafanya hapa nahitaji comment yako, ili niendelee kujifunza zaidi mchango wako ni muhimu sana.

Unaweza kuona hizi picha hapa,
mmexport1614374441634.png


mmexport1614374456049.png


mmexport1614374465549.png


mmexport1614374480204.png


mmexport1614374552599.png


mmexport1614374561433.png


mmexport1614374572404.png


mmexport1614374581565.png


mmexport1614374598716.png
 
Safi sana.....Mimi pia nimefanya personal designs nyingi tu na nikatafuta experts--ili waifanyie vipimo sahihi pamoja na professional advice.
Kuna online tools unaweza kutumia ili kutengeneza ramani ya kitu ukipendacho--->ningeshauri zaidi planner5d.com(hii ni bure kabisa na ina 2D na 3D designs)---kuna namna utaweza ku-upload ramani uliyoichora kwa mkono na ikafanya tracing---ila hii utabidi ucheze na vipimo---ni rahisi kwa kuanzia...kama alivyosema hapo juu--jitahidi kujifunza basics kwa 2D.Website nyingine ni Cedreo.com (hii ni ukishakuwa expert kidogo)---ni ya kulipia lakini unaweza ukaanza na trials--ina so many options.
Kama hobbyist(mimi sio mtaalam wa ujenzi) bado nitakushauri utafute ushauri wa kitaalam kutoka kwa watu kwenye hii field.
Hawa vijana wa mtandaoni watakubamiza au kukufanyia kazi mbaya(probably)--Nakushauri utafute mtu kwenye circle yako atakayeweza kukushauri--na kuongeza uzito kwenye mawazo yako.
Kila la kheri--Ujenzi mwema!
 
Safi sana.....Mimi pia nimefanya personal designs nyingi tu na nikatafuta experts--ili waifanyie vipimo sahihi pamoja na professional advice.
Kuna online tools unaweza kutumia ili kutengeneza ramani ya kitu ukipendacho--->ningeshauri zaidi planner5d.com(hii ni bure kabisa na ina 2D na 3D designs)---kuna namna utaweza ku-upload ramani uliyoichora kwa mkono na ikafanya tracing---ila hii utabidi ucheze na vipimo---ni rahisi kwa kuanzia...kama alivyosema hapo juu--jitahidi kujifunza basics kwa 2D.Website nyingine ni Cedreo.com (hii ni ukishakuwa expert kidogo)---ni ya kulipia lakini unaweza ukaanza na trials--ina so many options.
Kama hobbyist(mimi sio mtaalam wa ujenzi) bado nitakushauri utafute ushauri wa kitaalam kutoka kwa watu kwenye hii field.
Hawa vijana wa mtandaoni watakubamiza au kukufanyia kazi mbaya(probably)--Nakushauri utafute mtu kwenye circle yako atakayeweza kukushauri--na kuongeza uzito kwenye mawazo yako.
Kila la kheri--Ujenzi mwema!
Shukrani mkuu kwa ushauri konki
 
.Mimi sio mtaaalam wa aya mamb lakn naona kabisa kijana umejitahid mnoo kama ukapata mpunga ukaingia na darasan kidgo ukaongeza ujuz mkuu ww mtu sana
 



 
Back
Top Bottom