Karibu uwekeze kwenye biashara ya magari used

Knowledge ya magari na opportunities kila mtu anaziona, Hakuna dalali atakayekulengesha gari kwa bei rahisi, haipo hiyo.

Kwa kifupi, kwenye biashara ya kununua na kuuza magari kila kitu ni marudio, hakuna fursa, wanao survive ni wenye capital kubwa.

Kwanza hakikisha hujizamishi kwa dalali wewe cheza na wapambanaji ukague gari kwa mmiliki ukiielewa na ukapiga hesabu vizuri ukiona inakulipa wewe lipuka nayo tu
 
Knowledge ya magari na opportunities kila mtu anaziona, Hakuna dalali atakayekulengesha gari kwa bei rahisi, haipo hiyo.

Kwa kifupi, kwenye biashara ya kununua na kuuza magari kila kitu ni marudio, hakuna fursa, wanao survive ni wenye capital kubwa.
hakuna mtu anayefanya biashara bila faida ndo maana nikasema ambaye yupo tayari kuwekeza mimi ndie nitayetafuta gari na mie ndie nitakayeliuza gari sababu ndio kazi yangu,lakini kwenye faida itabidi unipe 30% na hiyo 70% ni yako kama mmiliki
 
Na wewe ni mmoja wa wanachama wa Jerry empire,?!
 

Ndio kikubwa usiwe mvivu tu maisha haya ukikaza kwa nia na malengo kutoboa ni suala la kawaida kabisa kikubwa fanya tafiti za kina kwa kitu unacholenga kufanya
 
Hivi ubber kama unafanya mwenyewe inalipa
zamani ilikuwa inalipa ila kwa sasa labda kama unataka hela ya mafuta na service na kula tu,sababu ukipiga kazi sana inakubidi kila week upige service ndogo na mwisho wa mwezi service kubwa hivyo unachobaki nacho kinakuwa kiduchu sana unaichosha gari.

Japo wale walioanza zamani wanakuwa na wateja wao parmanent mfano kupeleka watoto shule na kuwarudisha au wafanyakaz flani so akiunga na uber anaambulia otherwise ni kazi pasua kichwa na ukifanya kufa kupona ndivyo unavyoua gari
 
Watu wanalenga hadi bodaboda kwanza anajua kwa Dar boxer bei chee lakini akiifikisha bukoba ni hela, anajua kigoma na katavi wanataka pikipiki gani analenga hizo hizo, vibali anatia kwenye malori anazama hukohuko mikoani akishuka siku tatu au nne karudi na pesa yake nzuri
 
Na wewe ni mmoja wa wanachama wa Jerry empire,?!

Hapana, nilifanya hizo mishe miaka ya 2009, wale ulikua unasikia papa musofe, ndama mutoto ya ng’ombe hao ndio enzi hiyo akiuza ndinga kadhaa faida ipo anaenda kutuza watu wa bendi basi watu wanapagawa kwa siku hizi biashara imekua rahisi, kuna hadi broadcasting bana
 
Umesema una uzoefu. Ni uzoefu wa muda gani? Huo muda wote uliofanya hii kazi hujapata mtaji hasa ikizingatiwa kuwa umesema ina faida nzuri sana? Huoni kuwa kuliko mtu ku-risk kununua magari mabovu ni bora awe anaagiza kutoka eg Japan hata mawili mawili na kuuza baada ya kulipia ushuru na kusajili?
 

Mkuu kuagiza japan utachelewa kupata pesa, hivi unajua hata wenye yard wanalenga magari na ni biashara yao kubwa? Jerryempire nilichoona ngefanya atoe tu uzoefu wake hiyo ya umkabidhi pesa mara mgawane asilimia ya faida kwa upande wangu haijakaa sawa kabisa
 
nna uzoefu wa miaka 5 kwenye hii biashara na nlikuwa naifanya hku nafnya biashara nyingne,pia kuna mambo yalitokea nika shake but ni business ya risk free.

kumbuka pia nmetoa starting capital ya kupata gari nzuri zisizo na changamoto na pia sijamwambia mtu anipe hela yake bali namtafutia gari ambayo mimi na yeye ote tutairidhia kutokana na uzoefu wangu na wake kwenye biashara
 
Nimekuelewa ila nilikuwa naulizia ili kujua zaidi. Kwa namna uliyoelezea kama kuna mtu yuko interested anaweza kujaribu na sidhani kama anaweza kutapeliwa.
 
Ukiona mchongo kwa Tanzania unatangazwa hadharani badi huo sio wa kukimbilia.
 
umeniquote vibaya mkuu nilichomaanisha ni kwamba kama mtu yupo willing kufanya hii biashara na anamtaj wa kuanzia 8m au 10m anitafute.

Then ntamsaidia kupata gari nzuri ya kulenga kwa bei hyo ili baadae nitafute wateja tuiuze lakini nikishaiuza mimi faida yangu ni 30% ya faida hyo 70% ya kwake.

na hapo anaweza akaniachia gari abaki na documents gari iwe ofisini mteja aikagulie ofisini kwetu kama mmiliki atakuwa ni mfanyakazi au kama atataka anaweza kukaa na gari yake huku mie naipambania akipatikana mteja tunamfatavau anaitwa tunafanya biashara
 
Nimekuelewa ila nilikuwa naulizia ili kujua zaidi. Kwa namna uliyoelezea kama kuna mtu yuko interested anaweza kujaribu na sidhani kama anaweza kutapeliwa.
kutapeliwa ni ngumu sababu gari ni documents na documents zote unakuwa nazo wewe mmiliki mimi kazi yangu ni kukupa gari na kuhakikisha gari nnaiuza kwa wakati ili tununue nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…