jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
- Thread starter
-
- #41
uko sawaHapana, nilifanya hizo mishe miaka ya 2009, wale ulikua unasikia papa musofe, ndama mutoto ya ng’ombe hao ndio enzi hiyo akiuza ndinga kadhaa faida ipo anaenda kutuza watu wa bendi basi watu wanapagawa kwa siku hizi biashara imekua rahisi, kuna hadi broadcasting bana
nimeandika hapo 8m japo hadi chini ya hpo unaweza kuanza lakini kwa kuanzia na 8m au 10m unapata gar ambyo haina chngamoto na zile gari pendwa kama ist,runex,spacio nkKwahiyo mtaji unatakiwa uwe nao kuanzia kiasi gani??
Bajaj na ubber ya gari kipi kinalipazamani ilikuwa inalipa ila kwa sasa labda kama unataka hela ya mafuta na service na kula tu,sababu ukipiga kazi sana inakubidi kila week upige service ndogo na mwisho wa mwezi service kubwa hivyo unachobaki nacho kinakuwa kiduchu sana unaichosha gari.
Japo wale walioanza zamani wanakuwa na wateja wao parmanent mfano kupeleka watoto shule na kuwarudisha au wafanyakaz flani so akiunga na uber anaambulia otherwise ni kazi pasua kichwa na ukifanya kufa kupona ndivyo unavyoua gari
swali zuri kabla ya kununua gari ni lazma tujiridhishe na documents za gari kama ni halali na pia lazma tujiridhishe kuwa kilichomo kwenye documents ndicho kilicho kwenye gari kuanzia chases,body type engine nk.naomb niulize swal unawezaje kukabilianatna changamoto ya gari za uwizi
bora gari kidogo japo bajaj ukiwa una park eneo zuri pia unapata pata maana kwa bajaji kuna competition na boda hvyo mtu anaamua achkue tu gar sabab bei ya gar na bajaj hazija achanaBajaj na ubber ya gari kipi kinalipa
karibu sanaNitakutafuta ngoja nivunje kibubu....
kama unauza spare used hapo unakuwa sawa tu still utafanya business vizuri muhimu tu kujua sokon gari za ajali kubwa watu hawazipendmm nitaanza na kununua gari mbovu mm nauza used spare parts
karibu kwa picha na details za garNauza gari
karibuNarudi
Kwa kulipa ni kweli inalipa kutegemea na juhudi yako ya kuitangaza gari usikae nayo muda mrefu.Kumbe inaweza kuwa inalipa kiasi hicho, Nitajaribu Mkuu
Shukrani kwa maarifa MkuuKwa kulipa ni kweli inalipa kutegemea na juhudi yako ya kuitangaza gari usikae nayo muda mrefu.
Shida ni utaalamu tu wa kuikagua gari usiuziwe gari kimeo.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Hapa umetupiga kamba mkuu,hakuna mtu anayetafuta pesa ya halali kwa jasho lake kisha aende kuzigawa hovyohovyo kwenye bendi.Hapana, nilifanya hizo mishe miaka ya 2009, wale ulikua unasikia papa musofe, ndama mutoto ya ng’ombe hao ndio enzi hiyo akiuza ndinga kadhaa faida ipo anaenda kutuza watu wa bendi basi watu wanapagawa kwa siku hizi biashara imekua rahisi, kuna hadi broadcasting bana