mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Hii haijakosa mteja... Ishanunuliwa... Huna haki ya kufuatilia kwa nyuma.mtu kula chake naye unamwesabia ,mimi nimeanzisha biashara ya ndizi ikakosa mnunuzi nikawa nakula mwenyewe utaniita mwizi??
Mimi mwenyewe natoshaStaki lindwa[emoji19]
Niko na wageni my Queen.... Usiibiwe eeh[emoji30][emoji30]Kashanikera binamu bandia
Staki lindwa[emoji19]
hahaha mie ndo mlinzi lazima nimlinde
Moyo wangu umetuliaaaaa.... Sina wasi wasi na wewe mie.[emoji2]Haibiwi mtu
Naona mapenzi mubashara yalipikwa yakapikika na vikolombwezo vyote.Moyo wangu umetuliaaaaa.... Sina wasi wasi na wewe mie.
Huyo nmempanga ktk foleni tu[emoji2]wapo wengn wako mbele yake ,kwaio kakubaliana na hali halisi[emoji87]
Ila ndugu yangu ungemsogeza mbele kidogo maana hadi amepotea kwa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]haya bwana
Hajakasirika hili yupo kwenye kipindi kigumu sana.Hahahaha[emoji23]atarudi tu,hajuagi kukasirika
hakuna mzee maana mnakuwa watu mchanganyikokuna kijiwe cha gahawa ambacho huwa hakijadili simba na yanga?
hahaha umeonaee ndo unasonga huu na kishakuwa kijiweMhhh huu uzi umeanza kimasihara lkn naona unaelekea kuwa kijiwe kamili cha ghahawa
Ah haya bwana
upo koromije hapo? mbona kuna mwamvuli?
zipo mkuu agiza tuKashata zpo?