Karibuni Baraza la Kahawa

Kwa wale wapenda story usisite kupita hapa. Tuje tupeane mawili matatu na kubadilishana mawazo, kupunguza msongo wa mawazo.

Tuko mubashara!
This thread look like that thread of makapuku

It is the same thing ,same idea
 
mwanahawa alikuwepo ila katoka na jamaa yake ,labda umsubirii

basi ngoja niende nikamsubirie tu ile Guest yetu na kwa kuwa umesema katoka na mtu mwingine tafadhali nakuomba akirudi umpe huo ujumbe akiwa peke yake. Ahsante sana na niongezee kikombe kingine cha gahwa na mkate wa kumimina tafadhali.
 
Mbn hiki kijiwe kimepouwa sana

Jovitha weweeeee, ohoooooo....shauri yako. Ee bwana Nyoka_mzee hivi humo ndani una chumba cha kujiliwaza kwa wateja wako? Huyu bibie ananitafuta sana, nataka baada ya hii gahwa nimshughulikie kama masaa mawili hivi. Waongezee wateja wenzangu gahwa na kashata tafadhali.
 
hahaha majukumu mzee maana naona watu wanapambana na hali zao [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji1] [emoji2] [emoji3] walioko free mchana wakaribie hahaha tupige gahawa kidogo au hata jioni pia fresh
 
Hivi wazee..kuna correlation gani Kati ya kahawa na. Sie wenye pua ndefu 😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…