[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] mkishakuwa mabinamu halaliii...... Unijulisheee.......Ubinamu wetu umeanzia humu,asaiv unaelekea kua ubinamu halali[emoji28][emoji1]
Sasa kwanini mie nipigwe siku nyingi ww chachee au utakuwa una undugu na moods[emoji35] [emoji35] [emoji35]Si tulishirikiana jamani
binamu kumbe unajua kingreza kama mkulu?
Gahwa haijapowa ila ndo umeikuta jikoni ngoja ipate moto utaenjoy tu [emoji4] [emoji2] [emoji2]Sasa Nyoka_mzee mbona hii gahawa yako imepoa kihivi, mi dushelele halisimami bila gahawa ya moto na leo usiku nina ahadi na yule binti wa Mze naniii ati.
Wewe hee na hii hali ilivyongumu . ..keshaona banda la kahawa linaingiza 200-300 weeee.Hahaha jirani mashkhof ,hahaha sie mabinamu kweli acha wivu jirani ,hatekwi mtu kama ww upo [emoji2] [emoji2]
Dah haki hakuna hapa jaman nahisi mtakuwa zaidi ya ndogo kwa kweli maana si kwa ukarimu huu alo kukirimuMods ninaundugu nae yule mmoja,ndio maana hajakawia kinitoa katika kifungo
Hahaha Usikae mbali jirani kwa ajili ya kudumisha ulinzi shirikishi ,na ukiona viashiria vyovyote mie vya kutekwa basi usisite kuchukuwa hatuwaWewe hee na hii hali ilivyongumu . ..keshaona banda la kahawa linaingiza 200-300 weeee.
Ila ukijihisi kutekwa unijulisheeee[emoji4] mi Jirani yko bhana
Mie nataka cha kunywea soda maana chanisumbuwa kweli[emoji85]Hahahaa ntajua wapi mie,najifunzaga cha kuombea maji tu binamu
Wacha weee na mi naona kweli huu udugu ni zaidi ya mubasharaUdugu mubashara
hahahaha icho icho sasa unatakiwa ukichange katika past tense ili nipate cha kunywea sodaChangu ni kile cha izi go izi kamu izi kunywaringi majiringi[emoji1][emoji28]cha kuungaunga mpk naeleweka
Haya niwekee moja na kashata za kunguHaikosekani mkuu ,maana hili ni Barza ,lazima iwepo
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Haya niwekee moja na kashata za kungu
kumbee sasa inatakiwa wakati unaanza nifundisha uwe unanipa dawa ya usingizi ili nisiwe nacheka niwe serias kukusikiliza[emoji1][emoji28]Utakielewa mana mm nikianzaga hua niko serious mpk naeleweka,ukichekacheka watakuona hujui
Hahaha si umesema nikicheka ntakuwa sielewiiii sasa dawa ni kunipa dawa ya usingiziHahahaha kisa na mkasa nmekua comedian[emoji1][emoji16]
Shukran ,nasubiriaUtaekewa wala usjal
Pia kashata za karanga yakhee[emoji477][emoji477] na vibiskuti juu[emoji514]
Sawa mkuu tuweke na tangawizi kwenye Gahwa?Aisee kuna yule mwenyekiti wa huu mtaa hashauriki kabisa, ukizingua kidogo unapewa za uso...Juzi nimeenda kusalimia kwa kina Chausiku ile tu kumuita Shemeji ikawa kosa ndugu yangu...... Embu niongezee Gahawa hapa [emoji477] [emoji477]
muulize hataki mkate wa kumimina?[emoji477][emoji477] na vibiskuti juu[emoji514]