Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] mzee mi wa mtu wa bara...huo mkate ndio ukojemuulize hataki mkate wa kumimina?
mashkhofu vp bagia za kunde hutaki kwa ajili ya kulainisha choo?Pia kashata za karanga yakhee
Na hili suala inabidi tulikalie kamati, kila nyumba ukipita hapa wanamsema yeye tu...kuna kitu hapa lazima...Zamani haikuwa hivi kabisa mzee mwenzanguSawa mkuu tuweke na tangawizi kwenye Gahwa?
Yule wananchi washamchoka wamepanga kuweka mgomo kumuondoa maana anafanya kijiji kama mali yake
inategemea mkuu kufa kizembe hasa mtoto wa kiume lazima ukachomwe ..maana mtoto wa kiume utakufaje kizembe?Hahaaaa
Kifo ni kifo tu.
Na hili suala inabidi tulikalie kamati, kila nyumba ukipita hapa wanamsema yeye tu...kuna kitu hapa lazima...Zamani haikuwa hivi kabisa mzee mwenzangu
Labda na chai ya tangawizi mkuu..Gahawa sijui kama itaendana nayomashkhofu vp bagia za kunde hutaki kwa ajili ya kulainisha choo?
kwa wale wapenda story usisite kupita hapa,Tuje tupeane mawili matatu,na kubadilishana mawazo ,kupunguza mzongo wa mawazo
Tuko :Mubashara!
Ndio unapikwaje huo nkamwambie Mama Chanja wangu aupikeJina lingine ni mkate wa mchele
Mbona wewe hujaenda jeshini ili ukafe kishujaainategemea mkuu kufa kizembe hasa mtoto wa kiume lazima ukachomwe ..maana mtoto wa kiume utakufaje kizembe?
Ni kweli kabisa ,ila shida kijiji hakina wazee ,kama wazee wangekuwepo basi naamini wangetumia utu uzima wao eidha wangemuita wamuonye watu hawaishi hivyo au wangetumia zana za asili kumweka kitako
Naskia itakwenda mpara season Ten ,maana naskia jamaa katoa mpunga mrefu ili irushwe mpaka season tenMzee mwenzangu na mvua zinaishia ishia aseee tunasubiri episode mpya ya ile series pendwa MY TANZANIA.
unataka ipi ya kungu mkuu?Naomba kashata kwanza
kweli kabisa, kila kitu kinahitaji kuwa na kiasi, wazee wa kijiji wakimkalia kitako lazima aelewe tuinategemea mkuu kufa kizembe hasa mtoto wa kiume lazima ukachomwe ..maana mtoto wa kiume utakufaje kizembe?
Ni kweli kabisa ,ila shida kijiji hakina wazee ,kama wazee wangekuwepo basi naamini wangetumia utu uzima wao eidha wangemuita wamuonye watu hawaishi hivyo au wangetumia zana za asili kumweka kitako
Haya ngoja tukupe mkuu,Labda na chai ya tangawizi mkuu..Gahawa sijui kama itaendana nayo
Hamna Tatizo Mama QueenMwambie aje nimfundishe
hahahahaJina lingine ni mkate wa mchele
ngoja nimuulize[emoji1]Haujui pengn ndo mana hakuuliza atiii
asubuhi hii soda tena, chai ya tangawizi kali ndo yafaa atiHaya ngoja tukupe mkuu,
vp kasoda ka anjali kanaenda ?
ila si umekuja pwani?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] mzee mi wa mtu wa bara...huo mkate ndio ukoje
sawasawa mkuuila si umekuja pwani?
Basi utaujua shaka ondoa
Naomba akija hapq haya maneno usiyafute maana uchelewi kuniruka ww[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji16][emoji16]Itakua kaenda kwa mke wa pili ngojea aje atueleze