hungary
Member
- Jan 20, 2025
- 9
- 8
Habari za wakati huu wadau wote wa jf
Nipende kuchukua nafasi hii kuwakaribisha kwenye kampuni yangu ya huduma care ambayo lengo la huduma care ni
Kuwapa huduma wagonjwa ambao wamelazwa hospitali kwa mudu na ambao wajiwezi kujiogesha , kujilisha , kujipaka mafuta na n.k
Na huduma zetu ni kama ifuatavyo
1. kuwaogesha wagonjwa ,kuwapaka mafuta ,kuwa Alisha nguo , kuwabadilishia shuka , kuwasafisha baada ya kijisaidia
2. Lishe , kuwalisha wagonjwa kutokana na ratiba Yao ya chakula
3. Kuwapa dawa kama ilivyo elekezwa na daktari
Package
Kwa ajili ya huduma namba moja tu gharama yake ni 30000 kwa siku 3
Kwa siku shilingi 10,000
Ambapo mgonjwa ataogeshwa , kubadilishiwa nguo, kufuliwa nguo zake alizokuwa amevaa siku usika , kupakwa mafuta na kusafishwa baada ya kijisaidia
Kwa huduma namba 2
Gharama yake ni 15000
Ambapo atapewa
Chakula Cha mchana
Chakula Cha usiku
Maji na juice
KARIBUNI sana kwa maelezo zaidi tupigie simu 0756899736
Nipende kuchukua nafasi hii kuwakaribisha kwenye kampuni yangu ya huduma care ambayo lengo la huduma care ni
Kuwapa huduma wagonjwa ambao wamelazwa hospitali kwa mudu na ambao wajiwezi kujiogesha , kujilisha , kujipaka mafuta na n.k
Na huduma zetu ni kama ifuatavyo
1. kuwaogesha wagonjwa ,kuwapaka mafuta ,kuwa Alisha nguo , kuwabadilishia shuka , kuwasafisha baada ya kijisaidia
2. Lishe , kuwalisha wagonjwa kutokana na ratiba Yao ya chakula
3. Kuwapa dawa kama ilivyo elekezwa na daktari
Package
Kwa ajili ya huduma namba moja tu gharama yake ni 30000 kwa siku 3
Kwa siku shilingi 10,000
Ambapo mgonjwa ataogeshwa , kubadilishiwa nguo, kufuliwa nguo zake alizokuwa amevaa siku usika , kupakwa mafuta na kusafishwa baada ya kijisaidia
Kwa huduma namba 2
Gharama yake ni 15000
Ambapo atapewa
Chakula Cha mchana
Chakula Cha usiku
Maji na juice
KARIBUNI sana kwa maelezo zaidi tupigie simu 0756899736