Karibuni jikoni

Karibuni jikoni

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Salaam wana Chit Chat!

Natumai popote mlipo Pasaka yenu imeenda na inaendelea kwenda vizuri.

Nichukue fursa hii kuwakaribisheni jikoni kwetu [mimi na Kisura....daddy-daughter tag team].

Leo bi mdogo wangu huyu kasema anataka kupika wali nami nikamwambia ‘pika tu mama yangu’.

Sasa wali umeiva na yeye angependa kuwakaribisha jikoni kwetu ili mjumuike nasi kwenye maakuli.

Ila tunakula wali na maziwa mgando [mtindi].

Karibuni sana.

3CC7BD0E-686C-429B-B6A8-EA32E87DB60B.jpeg
 
Kumbe weye wajua kupika nawe...mashaallah Kijana, Ukiwa unapika basi usikose kusiliza nyimbo inayomsema Baba yako
 
Wali na mtindi huwa nakula mama watoto akisafiri sababu ya uvivu wa kupika.
 
Back
Top Bottom