Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wana JF, next friday ya Ijumaa ijayo kutakuwa na shughuli fupi ya arusi yangu ya mke wa pili. Nyooooote mwakaribishwa saaaaaaaaana.
I dreamed of a wedding of elaborate elegance,
A church filled with family and friends.
I asked her what kind of a wedding she wished for,
She said one that would make me her husband....
just thinking aloud.....hongera sana chamajani
asante sana kwa mwaliko..
hopeful kila kitu kitaenda sawa siku hiyo kubwa...
na nina watakia kila lakheri kwa maisha yenu ya ndoa..
God Bless
Majibu kwa wasiofika tuna mwambia nani? Manaake mi sitafika wala staki kabisaa kwasababu unaoa li jimama.Wana JF, next friday ya Ijumaa ijayo kutakuwa na shughuli fupi ya arusi yangu ya mke wa pili. Nyooooote mwakaribishwa saaaaaaaaana.
Wana JF, next friday ya Ijumaa ijayo kutakuwa na shughuli fupi ya arusi yangu ya mke wa pili. Nyooooote mwakaribishwa saaaaaaaaana.
Ee!ee! Preta, wataka kuwa 'third but bad' wangu nn? Je ikitokea hyo henna na piko yako+uturi wako vinazidi waridi langu si itanladhimu pia kulichuma na hilo komamanga lako soonest! Ok join to ths real enlarging world of mathna,thalatha no more arba! There still 2 rooms open an may be one z 4 you(say inshllh). Kwani gari yaenda vizuri ikiwa na 4 wheels mamaa!
Wana JF, next friday ya Ijumaa ijayo kutakuwa na shughuli fupi ya arusi yangu ya mke wa pili. Nyooooote mwakaribishwa saaaaaaaaana.
kweli nimeamini harusi ya pili haina mbwembwe.....:embarrassed:
Majibu kwa wasiofika tuna mwambia nani? Manaake mi sitafika wala staki kabisaa kwasababu unaoa li jimama.