Asante Canberra kwa cake
Ila JF bhana,mleta mada kajoin jumatatu ila anatujua kinyamaa
JF unaweza kujiona mjaaanja kwa kumkataa huyu boya NYEKUNDU YA BIBI akakujia na ID yake nyingine ya troublemaker ukamkubali
Nani analiwa hapo kati ya wewe na keki ?
Ameita mashoga zake hapo juu amewatag bado tu mkuu hujajua jinsia gani huyuJinsia gan mkuu ww
Wengine wamesema ni me, wewe tena unasema keAmeita mashoga zake hapo juu amewatag bado tu mkuu hujajua jinsia gani huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
🤗 jo joAsante Canberra kwa cake
Ila JF bhana,mleta mada kajoin jumatatu ila anatujua kinyamaa
JF unaweza kujiona mjaaanja kwa kumkataa huyu boya NYEKUNDU YA BIBI akakujia na ID yake nyingine ya troublemaker ukamkubali
Unatega kitu gani?achana nae huyo mimi nipo kwny mitego yang analia eti naye ategwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante Canberra kwa cake
Ila JF bhana,mleta mada kajoin jumatatu ila anatujua kinyamaa
JF unaweza kujiona mjaaanja kwa kumkataa huyu boya NYEKUNDU YA BIBI akakujia na ID yake nyingine ya troublemaker ukamkubali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wanaume wa jf mna wivu jamaniii [emoji1787][emoji1787]
Kosa lake kututag au ebu mwacheni kaka wa watu na nyie subirini uzi wenu wanaume mje kula cake