Karibuni Kifungua kinywa kutoka Kijijini

Karibuni Kifungua kinywa kutoka Kijijini

Ms Euna

Member
Joined
Oct 17, 2020
Posts
54
Reaction score
45
Habari za asubuhi wana Jf,natumai mmeamka salama na mkiwa mnajiandaa kuingia kwenye harakati za utaftaji kwa lengo la kupata chochote kitu,Na Mungu akawafungulie milango ya baraka.Bila kusahau uzi unavojieleza, Karbu tupate kifungua kinywa na tunda la ndizi likiwa ni kwahisani ya Mshana Jr.

IMG_20210128_095338_859.jpg
 
Habari za asubuhi wana Jf,natumai mmeamka salama na mkiwa mnajiandaa kuingia kwenye harakati za utaftaji kwa lengo la kupata chochote kitu,Na Mungu akawafungulie milango ya baraka.Bila kusahau uzi unavojieleza, Karbu tupate kifungua kinywa na tunda la ndizi likiwa ni kwahisani ya Mshana Jr.

View attachment 1687994

Loh thanks ndio natoka kilingeni
 
Habari za asubuhi wana Jf,natumai mmeamka salama na mkiwa mnajiandaa kuingia kwenye harakati za utaftaji kwa lengo la kupata chochote kitu,Na Mungu akawafungulie milango ya baraka.Bila kusahau uzi unavojieleza, Karbu tupate kifungua kinywa na tunda la ndizi likiwa ni kwahisani ya Mshana Jr.

View attachment 1687994
Hilo bomu la yai mchemsho na ndizi mbivu Mkuu we kula tu
 
😂😂😂..sindio afya yenyewe
Afya Yale mabom ya nyukulia? Happ patakuwa hakaliki usiombe ikikukute penye jumuiko la watu 😂😂😂😂 Hurudii Tena kula mixer hiyo mkuu
 
Afya Yale mabom ya nyukulia? Happ patakuwa hakaliki usiombe ikikukute penye jumuiko la watu 😂😂😂😂 Hurudii Tena kula mixer hiyo mkuu
Basi mwezio Mungu aliniepusha na mabomu,au sijui kwajili sikua kwenyejumuiko la watu😊😊😊
 
Back
Top Bottom