Karibuni kwenye Mkutano wana Bunda wasomao vyuo vya Mwanza

The activist

Senior Member
Joined
Aug 9, 2014
Posts
113
Reaction score
67
Habari!

Napenda kuwakaribisha kwenye mkutano wa kwanza utakao wakutanisha wana bunda wanaosoma kwenye vyuo mbalimbali Mwanza. Ni siku ya jumapili trh 1/3/ 2015 , ukumbi wa M 7 SAUT Malimbe Mwanza. Kuanzia saa nane mchana .Pia tunawakaribisha wote wenye mapenzi mema na wilaya ya bunda.

Tafadhali wajulishe na wengine. Kwa mawasiliano tupigie 0764 156731 au 0688 452090.

Nyote mnakaribishwaaaa!!
 
Hapo napo mnachangishana subscription ufisadi kila sehemu hongera uliyeanzisha piga hela ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…