Karibuni Kwenye Usiku Wa Tuzo za Tff/NBC . Tff Award 2021/2022

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Kushoto nyuma; Makumbi Juma, Lunyamila, Abdallah Burhan, Abdallah Kaburu, Muhidin Sisso, Bakari Malima na Sure Boy.
.
Chini kushioto; Ally Malilo, Hassa Gordian Mapango & Mohamed Mkweche.
.
Tukisubiri hafla ya tuzo za wachezaji zinazoanza saa 1 usiku leo.
.
Makipa; Mwarami Shilton, Moses Mkandawile, Mohamed Mwameja & Peter Manyika
.
Tuzo zaidi ya 56 kushindaniwa Leo.
.
Karibuni Sana Rotana Hotel Dsm

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Maxime kapendeza saana na shati lake la bahamas
 
Maxime kapendeza saana na shati lake la bahamas
Mexime hayupo kwenye hizo picha hapo juu labda kama umemuona sehemu nyingine,...huyo unaemwita Mexime ni Peter Manyika kipa wa zamani wa Yanga na Taifa Stars
 
Safi sana wachezaji hao wamecheza wakati nchi Ina heshima na adabu, kila mchezaji hapo juu alikua anajeza kwa kipaji sio mpira wa sasa wa kuelekezwa, mapango anakimbia na chaki, mkweche beki mahiri ohooo Pan Africa FC vs Vita FC ndani ya A town, Tanzania one..Mwameja..,Abdallah Burhani no 9 matata sana,
 
Mbona ukumbi umepooza hivi watu hawashangiliii kama wamemwagiwa maji..Kweli shughuli za simba zinanoga bwana kwanza ka ukumbi kabayaa wamebanana wameshindwa kwenda walikofanyia wenzao wa kimataifa Simba mwaka jana??
 
Daaa, nilikuwa nazoom kuangalia sura aseee wana huzuni sana sana, but kweli sura yenye furaha hata kama huna pesa ni dawa kwa mwingine.

Angalia mwenyewe katika picha walio nuna na wenye tabasamu utaona tofauti, hapo sijasema mavazi NO nasema tabasamu!.
 
Mbona ukumbi umepooza hivi watu hawashangiliii kama wamemwagiwa maji..Kweli shughuli za simba zinanoga bwana kwanza ka ukumbi kabayaa wamebanana wameshindwa kwenda walikofanyia wenzao wa kimataifa Simba mwaka jana??
Mrembo oyeee?? Uspoitikia bas na wew umepoa
 
Ngoja nikalale maana naona matangazo ghafla yamekatika naona mambo ya 77 hapa.
 
wakongwee hao banaa!namuona winga bora kabisa kutokea Tanzania miaka ya 1993-2003, Edibily Jonas Lunyamila!mpira ukiitwa mpira!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…