Karibuni kwetu

Karibuni kwetu

Utingo

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
10,266
Reaction score
8,085
pimw.jpg
 
Hapo ni jiji la Ndesamburo Moshi Town!

mkuu itabidi ufanye ka-vekesheni Rocky City. Hapo ni Mwanza hilo jengo ni NCU-Nyanza Coop. Union
 
Yeah !Moshi town safi sana,Utingo ubarikiwe kwa kuweka picha nzuri
attachment.php
 
ma zoo imependeza sana aisee... i miss that place
 
Oooh, Umenikumbusha nyumbani aisee, that is Mwanza.
Hicho kijengo chenye paa jekundu ni petrol station ya Kada wa CCM, Ambaye alijenga petrol station maeneo ya furahisha (furahisha iko umbali kidogo kutoka apo kwenye round about, kwenye direction inakoelekea hiyo zima moto) ambayo ilibomolewa kwa zengwe kubwa sana kutoka na maslahi ya kisiasa baina yake ya injinia wa mkoa wakati huo (sasa ni mbunge wa buchoa kupitia CCM).

Sikuwahi kujua exactly what had gone wrong between those two, mwenye data anaweza akashare experience please.Ila cha msingi ni kwamba kada/Mhindi huyo alifinance kampeni za Ben katika kampeni zilizo mrudisha marakani for the second term kwa kujaza magari ya ccm mafuta.

Ukiinua macho juu kidooogo, upande wa kushoto wa hiyo petro station hicho kighorofa cheupe ndio kuna Office za IMMMA Advocates, ni kijengo ama chake ama cha baba yake na brother men Masha aka failure.

Ukiangalia hiyo barabara iliyonyooka, mbele kule upande wa kushoto hilo jengo unaloliona mara ya mwisho mimi kuliona ujenzi wake ulikuwa umesisimama, sijui kama unaendelea, ni jengo la Mramba, ujenzi ulisamama ghafla baada ya kesi yake kuanza mahakamani.

Na hapa mwanzo wa Picha, hicho ki pick up kinaingia kwenye Jengo la CCM Mkoa wa Mwanza,hapo ndo mbinu zote za kuwafukarisha wakazi wa mwanza huzaliwa na kubarikiwa.

I love you Mwanza,
 
Yeah !Moshi town safi sana,Utingo ubarikiwe kwa kuweka picha nzuri
attachment.php

Mkuu hiyo ni Mwanza City si Moshi town, kulia unaona hiyo si KNCU bali NCU-Nyanza Coop Union building. Siku hizi Rocky City iko clean sana kama Moshi T vile.
 
unaona? kwa nini watu wanabishana kuwa ni mwanza au moshi?? na si moro na dar su kwingine kokote, kuna kitu kinachofanya mwanza na moshi vifanane bila shaka.
 
Dah! Bugando nimeiona kwa mbaaaaali dah what a memory.....
 
Panavutia.....nice photo....issue ni je, wanaoishi hapo wanapata mahi kama hayo majani? Na sukari wananunua bei gani kama wana afford in the first place!
 
jamani sato tu nawamiss
Conquest-no place for hopeless siners:clap2:
 
Back
Top Bottom