Karibuni Liwale

Yani kama sio mwana Jf mzoefu mbona hugusi nyanja zote kama habari za pisi na upatikanaji wa mbususu!

Hebu toa taarifa kamili ili mzabzab aje awekeze na yeye.
Mkuu kumbe unazungumzia vimwali..huku wewe tu ila wake za maustadh usicheze nao Liwale ni Islamic state utapata shida.ila general KUSINI oya oya..mapenzi usiteseke mayo sana
 
Yani kama sio mwana Jf mzoefu mbona hugusi nyanja zote kama habari za pisi na upatikanaji wa mbususu!

Hebu toa taarifa kamili ili mzabzab aje awekeze na yeye.
Nyuma ya keyboard nafanya kweli kaka simu nyingi zinaita mastori ya town ni mengi magoma ya manzese kama yote mpaka nashindwa niwape story IPI ila me pia niko sana betpawa nashinda huko kuna formula natengenza za kumkamats muhindi 100%.
 
Nyuma ya keyboard nafanya kweli kaka simu nyingi zinaita mastori ya town ni mengi magoma ya manzese kama yote mpaka nashindwa niwape story IPI ila me pia niko sana betpawa nashinda huko kuna formula natengenza za kumkamats muhindi 100%.
Betpawa kuna hela? Najaribu jaribu Sportpesa naona hola
 
Umekuja na maneno mengi ya kuvutia, halafu umetunyima picha. Tuwekee pia na picha za huo mji wenyewe wa Liwale ili tuona kama unashawishi.
 
Mpiga miti hujapataja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…