Kama zilivyo shule za kata,MUCCOBS nayo ni chuo cha kata,anayebisha anithibitishie ni kwanini huyo jamaa aseme ushirika ni Harvad of Africa.
nimesema hvo kwa ugumu wa masomo ya hapa...
nisamehe kama nimekuudhi!!!!""""""
Masomo magumu au wewe ndio kilaza
karibun,
inafanyika tarehe 2.
ukimaliza hiki chuo, shukuru Mungu
Malecture wa hapa.ni hatari.............