Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,ungemuelekeza usahihi wake ili ajue kosa lake ingependeza zaidi.Picha alafu ya kuchora anyway kiswahili ni kipana
Sh ngapi unachora?Kwa bei nafuu sana unajipatia picha ya kuchora ya kitu au mtu yeyote umpendaye.Kwa mawasiliano: 0685069818
Karibuni mabosi 🙂
Mil 3 ???Yani picha ya kuchora tu Tshs milioni 3?
Mbona unatumia peni nyekundu sasa kuchorea.Kwa bei nafuu sana unajipatia picha ya kuchora ya kitu au mtu yeyote umpendaye.Kwa mawasiliano: 0685069818
Karibuni mabosi 🙂
Ni sanaa ya picha za Monokromu bosi,yaani imahusisha rangi nyeusi na nyeupe.Zikoje?
Weka sample ya kazi yako tuone,kisha nataka unichoree picha ya BICHWA KOMWE -
Nanazo picha za ukutani pia kwa bei nafuu sana nicheki private 0685069818 kwa mazungumzo zaidi,haifai mapatano yetu yafanyike kwenye comment ndugu.Karibu sanaNi nzuri sema A3 ungefanya hata kwa 50/60 natambua kipaji chako mkuu, je huna picha zozote zile za art za kubandika ndani/ukutani?
Poa poa Sana mkuuKuanzia Tshs 20,000/= hadi Tshs 300,000/=tu bosi na bei inatokana na ukubwa wa picha husika kama inavyoonekana hapo chini:
A0-300,000/=
A1-250,000/=
A2-180,000/=
A3-100,000/=
A4-50,000/=
A5-20,000/=