Meja vitalis
Member
- Aug 7, 2013
- 32
- 14
chuo kilijengwa na waingereza.....so Udom ya mchina.....ulizia BIg 3year mkimbizaji
Poor...
shahada za hapo vp?maana nimeambiwa eti MUCE ni collage.
We ----- nini!Acha ulimbukeni.:A S-confused1:Watu wengi hukosa kuzifaidi raha kwa kufuata mkumbo wa baadhi ya watu na kujikuta wanaishia katika mikosi na mazingira magumu ya kusomea,kama wewe ni miongoni mwa hao nakukaribisha Mkwawa university uje ule mema ya nchi na uione thamani ya Elimu yako! Mungu ibariki MUCE,wabariki Malekchara wake na wanachuo wote pia."NEVER DIS,FULL CUDOS,PEACE&LOVE!"
Watu wengi hukosa kuzifaidi raha kwa kufuata mkumbo wa baadhi ya watu na kujikuta wanaishia katika mikosi na mazingira magumu ya kusomea,kama wewe ni miongoni mwa hao nakukaribisha Mkwawa university uje ule mema ya nchi na uione thamani ya Elimu yako! Mungu ibariki MUCE,wabariki Malekchara wake na wanachuo wote pia."NEVER DIS,FULL CUDOS,PEACE&LOVE!"
NEVER DIS! ila ukwel utabaki kuwa ukwel hata ujinyonge MUCE itabaki kuitwa MUCE "THE HOME OF INTERRECTUALS!"
Muce ndo habari ya mjini msosi book hadi unauacha kwenye sahani! Full maji ni wewee tu!
Mbona bado ndo fainalist tunaingia raha hazijaanza.Big mkimbizaji na kocha mchezaji.
We ----- nini!Acha ulimbukeni.:A S-confused1: